Recent content by Cesar Caspar

  1. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Nimeshangaa hilo dau, maana City walitaka €70m, sasa jamaa walichoweka ndio hicho!! Kama City wakipokea hiyo offer ndio kitakuwa kituko kingine , acha tuone mchezo unavyoenda.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Perez anaona noma kutoa 70€m+ kwa mtu anayemaliza mkataba wake Msimu ujao, ndio hiyo kusita sita unayoiona hapo, ila kuna taarifa nimeona kuwa Barca na wao wameingia kati, wanamtaka!!
  3. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Nimeona hiyo taarifa pia, Mourinho ndio zake, kama kipindi kile alivyomtumia Essien kama beki wa kulia.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Siku hizi signing zinapigwa faster sana, yaani ni tetesi baada ya lisaa inatoka statement!!
  5. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Official Statement: Carlos Espí Real Madrid CF and Levante UD have agreed to the transfer of player Carlos Espí, who will be linked to our club for the next five seasons, until June 30, 2031. At 21 years old, Carlos Espí has played three seasons at Levante, in which he has played 66 games and...
  6. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Bado!! Sasa sijui ni kweli Perez anataka kumsajili ama anataka kumtishia Vinicius!? Acha tuone itakavyoenda, maana wanadai kuwa kijana ameshakubaliana na Real Madrid, so hapo imebaki Madrid kuweka offer yake mezani.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Sajili za sasa hivi haloo, husikii tetesi mara vuu tumemsajili mtu, huyo kijana wa Ivory Cost hata sikuwahi kumdhania, sie yetu ni support tu
  8. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Trump bhana, ana mbwebwe sio mchezo
  9. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Huko hajafikia, Kombe la Dunia linamtosha
  10. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Nilikuwa sijaona matokeo, yaani kutoka tu na kurudi imeshakuwa 4? Daah
  11. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Ya kibabe sana!!
  12. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Imeishaa hiyoo
  13. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Nomaa sanaaa, wamekubalii
  14. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Motoo mwingiii, Golikipa kaomba maji, noma sana!
  15. C

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Kuna jamaa kaingia chini ya uvungu sio mchezo, sema huyu kijana wa Simeone na yeye anapenda kutumia tu nguvu.
Back
Top Bottom