Recent content by Cesar Caspar

  1. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Team inavyocheza ni kama kila mtu anacheza kivyake, hakuna mipango yoyote, ndio maana nina-support idea ya kumpa Mourinho kazi ili atusafishie kwanza team kisha wapewe hawa akina Arbeloa kazi, bila nidhamu pale hatutoboi
  2. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Ni ana shida ya misuli ya paja
  3. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mzee kilichotufanya tuwe hapa ni makosa kuanzia kwenye kiungo, kuanzia msimu unaanza hatujawahi kurekebishika, haya ndio matokeo yake, kiufupi, Alonso hakuweza kutengeneza team ya ushindani, na Arbeloa hajaweza kurekebisha hilo maana hata hao wachezaji hatuna.
  4. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    hatuna option Mzee, ndio tulionao
  5. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Kuna muda inabidi uangalie ili ujue team yako jinsi ilivyo man, tucheck tu game Jomba.
  6. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Sijui hata Alonso aliona nini kwa huyu Mtoto,yaani alimwachia Endrick akabaki na huyu Mtoto.
  7. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Asencio sikuwahi kumuelewa man, ndio maana hata ninaona huyo Jose aje tu, atusafishie team kisha tupate Coach wa kutupeleka mbele, maana wote wamekuwa sawa.
  8. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Watu wa mipango ndio hatuna tu Mzee,
  9. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hapo baadae tutakuwa na Barca, acha tusubiri tuone itakavyokuwa, maana sarakasi week zimekuwa nyingi sana!!
  10. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Pamoja sana Mkuu
  11. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Pale katikati tuna wakati mzito sana kwasasa, kwa style yetu ya uchezaji tunahitaji viungo mafundi haswa, sasa ukiangalia kwa waliopo sasa wote uwezo wao unafanana, ndio maana hata back pass zimekuwa nyingi kweli kweli. Imagine tulikuwa na Toni, Luka na Casemiro tu, na walikuwa wanamiliki...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mzee sie tulikosea tu msimu tu ulipoanza, Alonso sijui alimuogopa Perez, maana tulikuwa na mapungufu kwenye kiungo tokea pre season na hakuona haja ya kusajili, sijui alikuwa na mategemeo gani ili kiukweli alizinguq, hatukujenga team ya ushindani. Tusubiri tu msimu uishe jamaa waangalie ikiwa...
  13. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hakuna haja ya kusema hivyo, amefanya ujinga ni kweli na ameigharimu team, ndio mpira ulivyo
  14. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Mpka msimu ujao tena, wamejitahidi kadri walivyoweza, hatuna budi kukubali matokeo,
  15. C

    JamiiForums Tanzania Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Game imeisha,
Back
Top Bottom