Kidogo kidogo tu, hakuna aliyejua kuwa jamaa yupo hivi, so atakuwa anabadilika kadri muda unavyoenda,ukizingatie pia sub zake ni kama za utambulisho, so muda sio mrefu atakuwa na full squad fit kasoro Rodrygo tu, so atakuwa na uwanja mpana wakufanya mautundu!
Huyo ni kwenye press ya jana baada ya game yetu dhidi ya Atletico, jamaa anaonekana ana uelewa mkubwa sana wa wachezaji wake na namna anataka wawe, akipata support ya wachezaji wake, basi ana uwezekano mkubwa sana wa kufanya vizuri siku zijazo.
“My biggest goal as a coach is to be unfair to as many players as possible. I’d love that when I announce the lineup every match day, I look at those who aren’t playing and feel like I’m being unfair to all of them, that they deserve to play and deserve much more. I already feel this way with...
Wanajua ni nani aliye golini, kuna muda Lunin kama anapoteza focus hivi, yaani anatoka uwanjani mazima, ikipigwa ya mbali imo, ila hapa na hapa humfungi!
Brahim ni mkali sana wa kutafuta penalty, ni kama alivyokuwa Lucas Vazquez, yaani wanakuwa na vimtego vidogo tu unajikuta unamgusa watu wanafunika tuta!!
Tupo nyuma kwa goli moja, ila kiukweli team imecheza vizuri, tunahitaji umakini sasa kupata goli maana jamaa kwa ulinzi sio haba, ni matumaini yangu kipindi cha pili team itakuja vyema!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.