Pale katikati tuna wakati mzito sana kwasasa, kwa style yetu ya uchezaji tunahitaji viungo mafundi haswa, sasa ukiangalia kwa waliopo sasa wote uwezo wao unafanana, ndio maana hata back pass zimekuwa nyingi kweli kweli. Imagine tulikuwa na Toni, Luka na Casemiro tu, na walikuwa wanamiliki...