Recent content by Ccm chama changu

  1. Ccm chama changu

    Mtaji 70m biashara yangu ya duka la vyakula imeshuka sana nifanye biashara ipi

    Chukukua milioni 40 weka kwenye dhahabu Baada ya mwaka mmoja utakuwa ni mwingine kabisa
  2. Ccm chama changu

    Bunge la 2025

    Kwa trend inavyoelekea na namna. spika atataka kutumiwa na mfumo kumlinda mama dhidi ya wakosoaji wake ndani ya chama chao. Naona kabisa wakifukuzana bungeni na hali itakuwa ngumu sana bungeni.
  3. Ccm chama changu

    KERO Msasa Gold Mine: Wachimbaji tumechoka unyonyaji. Kuna kiongozi anatamba akidai ana kinga ya Waziri wa Madini

    Mwenye leseni eneo hilo anaitwa Cosmas Kisha ulizia ana undugu upi na katibu wa wizara ya madini bwana Sasamba. Ukipata majibu jua kiburi kinatokea wapi.
  4. Ccm chama changu

    Je, TAMISEMI mwaka huu hakuna Ajira za Walimu?

    Mwalimu ndio torch ya mwangaza kwa Taifa lolote
  5. Ccm chama changu

    Je, TAMISEMI mwaka huu hakuna Ajira za Walimu?

    Tangu Mama ameingia madarakani amerejesha matumaini ya ajira kwa vijana wa kitanzania kulinganisha miaka 6 kabla yake. Hii Ni baada ya miaka yake miwili kuajiri kada ya elimu na afya. Na hili limekuwa likifanyika miezi Kama hii kwa Tamisemi kutangaza nafasi hizo ambapo waombaji huomba na mpka...
  6. Ccm chama changu

    DOKEZO Prof. Mkenda, Tambua wanasemina walimu wa sayansi waliopo Butimba TTC tokea Tabora hawajalipwa siku ya nne hii

    Andiko lako sijui Kama linaukweli Kwa ufupi Mimi ni mwalimu wa sayansi natokea mkoa wa geita na wiki mbili zilizopita ndio ilikuwa awamu yetu kama mkoa hapo butimba semina ilienda vizuri bila uwepo malalamiko yoyote kwani Kama kulala tulikuwa tunalala hapo hapo chuoni labda kwa Yule ambae...
  7. Ccm chama changu

    Vijana kupewa mafunzo miezi 4 kabla ya kupewa mashamba na uwezeshwaji, asante Rais Samia

    Na Mwl Udadis, Kiteto Hatimaye kundi la kwanza la vijana 812 kutoka Mikoa yote nchini linatarajiwa kuanza mafunzo muhimu ya kilimo kwa muda wa week 16 kuanzia tarehe 17 Mwezi March. Serikali chini ya uongozi wa Rais Samia itagharamia Mafunzo na gharama ya chakula na malazi. Kwa mara ya kwanza...
  8. Ccm chama changu

    Kazi ya uteuzi ibaki kuwa Rais Ila nafasi ziombwe kupitia TAMISEMI

    Nawasalimu kwa jina la Jamhuri. Baada ya siku chache kupita kwa mh Rais Samia Suluhu Hasani kufanya uteuzi wa waheshimiwa wakuu wa wilaya kadhaa nchini ambapo kwa asilimia kubwa ya wateuliwa wamesharipoti vituo vyao vya kazi na wengine tunasikia wamegomea uteuzi huo. Kwanza niwapongeze wale...
  9. Ccm chama changu

    UCHAGUZI UVCCM: Kawaida kutoka Zanzibar Mwenyekiti Mpya wa UVCCM Taifa, Rehema Sombi Makamu Mwenyekiti Taifa

    Hivi huwa wakati wa tu akiwa muislan kwenye kiti Cha Urais udini ndo mnauona au vp Ok tuje kipindi Cha magufuli tuone Safu ya uongozi CCm na jumuiya zake zilikuwa vp Mwenye kiti CCM alikuwa Magufuli -mkristo Makumu wake alikuwa mkristo Mwenyekiti Uvccm alikuwa Herry james- mkristo UWT alikuwa...
  10. Ccm chama changu

    Mwongozo wa malipo wasimamizi mtihani wa la saba

    Per day ilikuwa 20k kwa iyo kwa siku tatu ni 60k
  11. Ccm chama changu

    Trafiki wapukutishwa barabarani, Vilio vyatawala

    Ajali za barabarani hazipunguzwi kwa kuwa na Askari wengi barabarani Ila kwa 1.barabara Bora 2.madereva wenye elimu ya udereva yaani walio pitia veta 3.magari Bora 4.sheria Kali za barabarani kwa atakae kiuka au kuvunja Sheria Askari barabarani watengewe vituo maalumu vya kusimama ambapo...
  12. Ccm chama changu

    Kusimama kazi na kufunga maduka kisa Mwenge

    Hii habar yako mbona Kama ya uongo mwenge bado haujafika mkoa wa shinyanga Leo ndo unamalizia mkoa wa Geita inakuaje ukutane nao leo shinyanga
  13. Ccm chama changu

    Mfahamu RTO anayehujumu Mapato ya Serikali jijini Dodoma

    Njia ya kuondoa uozo wa barabarani kwa Askari wetu ni kutunga Sheria Kali kwa atakae kutwa amevunja Sheria za barabarani na kupunguza ukubwa wa faini mpaka elfu kumi
  14. Ccm chama changu

    Wale mtakaofanikiwa ajira za Ualimu njooni hapa tujuzane

    Nikishaona wanatoa majina bila mpangilio wa alphabet hapo moja kwa moja najua ni majina ya mchongo wanatoa kutuchanganya macho yetu
Back
Top Bottom