Hello my fellow CHELSEA fans ..it's me from Singapore
I miss you guys, I miss home sweet home
Tz Kilimanjaro [emoji1241][emoji1241][emoji630][emoji630]
Bado hatujasainisha yeyote?
Wengine bado Yuko ughaibuni tunapambana mkuu. Hili suala la kujiua liko Kila mahali Hadi huku nilipo. Na Mara nyingi linawakutaa wanaume. Tatizo kuu no upweke na kukosa faraja.
Huku Sasa unakuta mtu Ana Kila kitu anachohitaji mwanandamu. Lakini anajiua, huko nyumbani watu wanajiua kwa Sababu...
Mkuu umachinga Hadi huku watu wanapiga. Unakuta wa Nigeria wengi tu wametandaza mapochi chini wanauza Hadi euro 100 kwa pochi na polisi hawawafukuzi Ila wanawapa ulinzi kabisa. Pia Hadi wachina wengi ni wamachinga na wahindi na watu wa sri Lanka huko. Kwa ufupi umachinga upo Hadi ughaibuni mkuu.
Khabari watanzania wenzangu, nimekuwa nikifuatilia hii forum taratibu tangu imeanza. Kwanza niwape moyo wale wenye Nia ya kusafiri kutafuta maisha.
Msikate tamaa pambaneni maana hata Mimi nimepita humo humo. Nilianzia Saudia, baadae nikaenda Vietnam, nikaenda Kuwait na Qatar nilifanya kazi Kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.