KateMiddleton
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 3,708
- 4,428
Dont say maumivu yataisha tu hujampa mtu HOWSo u legalize suicide?
Na hayo yote yatakuwa solved baada ya kujiua?
Okay its about him/me? Vip kuhusu hiyo familia alioianzisha tayar?
What is pain? Maumivu yataisha tu.
Ishu ni jinsi ya kuovercome hizo problems ila sio kwa kujiua.
Hata nikueleze vp naona hunielewi
People think wanaojiua wanakimbia matatizo
Ila huwa hawaoni victims wamepambana sana kusolve hayo matatizo yao kwa njia zote wanazozijua na hawajapata suluhisho
Somebody js doesnt want to die
Kuna sababu