Recent content by Catfish

  1. C

    Kamwe sitomsahau huyu mama aliyeninunulia chakula pale babati(HOTEL) nilipokuwa natoka Dodoma to Arusha

    Samahani mkuu (airphone) ni nini? Natanguliza shukurani kwako na vyuo vyetu pendwa
  2. C

    Simu yako sasa hivi charge 🔌⚡️ ipo asilimia ngapi?

    Mimi hii yangu ni kimeo kiasi kwamba huwa naichajiaga kwenye transfoma
  3. C

    Watu 10 wanaoongoza kwa Umaarufu Tanzania

    Mbona simuoni LE MUTUZ katika hiyo listi yako mkuu
  4. C

    Ali Kiba ni mseja

    Kiukweli sijaelewa heading na kilicho andikwa hasi na chanya
  5. C

    Kama Kuna member JF mwenye hii tabia akome na ikiwezekana atoke jamvini. Ni tabia ya kipepo

    Mwanamke ni kiumbe pekee kuongea na ShetanI live.
  6. C

    Mnaoweka matuta rough Road Acheni Rohombaya

    Sio roho mbaya, tatizo lenu wenye magari na boda boda ni mbio mbio bila kuzingatia watumiaji wengine wa barabara
  7. C

    Kwa wanaosafirisha mizigo kwenye mabasi na malori n.k

    kiukweli hawa watu wa usafirishaji wana mambo mengi, mm kuna siku nlipakia vyombo amabvyo ni vya mtumba kwa ajili ya biashara nilinunua toka zanzibar, baada ya kutoka zanzibar nikaenda pale jangwani zipo fuso wanazofarisha bidhaa karibia miko yote ya hapa Tanzania. Tukakubaliana malipi na mzigo...
  8. C

    Nilivyomla kiulaini sistadu aliyewashinda wengi

    Mkuu hii chai yako imezidi tangawizi hadi inachubua koromeo.
  9. C

    Soma hii muhimu sana

    Karibu Lutindi Mental Hospital mkuu hakuna shaka hilo tatizo lako watalipatia namna sababu kuna wengine ambao huwa hawalali kabisa na wapo mule na.wanapata utatizi, kwahivyo hata wewe nina imani utapata tiba hapo.
  10. C

    Chemsha bongo kidogo hapa

    92
Back
Top Bottom