labda maana hyo game nlyosnzia taifa ilkua ya starstunajua tutafungwa ila tukahakikishe ngapi
Kama unasinzia ivyo na ushuzi haukuponyoki hamna shida.Wakuu , habari zenu
mi naitwa baba swalehe , wakuu bhana mi na shida kubwa
Teh ...
Dah kwenye maisha yangu nmekua na shida kubwa ya kusinzia na kulala kupitiliza yaani na kutokua na hofu na kitu chochote yaan kutake vitu easy sana
Ntawapa story fupi ya jinsi nlvyoachwa na magari ya mikoani , maana ni mara nyingi sana ntasimulia kwa ufupi
1. Mara ya kwanza enzi hizo nipo form three , nimelala guest house
Nakuja kushtuka saa mbili kamili asubuhi , nkawaomba wanisaidie nisafiri hivyo hivyo kesho yake
Wakakubali , ile kesho ake bhana nikajihimu ani nikaamka saa saba kamili usiku , kwenye saa kumi nkashikwa na usingizi mzito sana , nachokumbuka maana nlkaa kwenye kiti nilidondoka
ndo nkashtuka nkawah stand nkakaa nikalala tena
Muda wa safari sasa , tumefika pale iringa kuchimba dawa eeh mzee , mi nmewaambia na tatizo la kutake vitu easy sana , wametuambia dakika tano tunachimba dawa !
Mi nkatake easy nmeshakojoa nkaanza kuchezea chezea mbao flani pale nakumbuka nlkua na spana mfukon maana nlkua nasoma shule ya tech , iyunga boys
Eeh bhana , gari likaniacha ...
Kilichotokea acha hilo sitowasimulia
2. Tukio la pili , baada ya mfululizo wa kuachwa na magari mara kibao yaani mara nyingi sana , yaani mara nyingi aisee
Nikaona isiwe taabu leo nilale stand kabisa , teh kwenye saa 4 nkajongea stand ubungo , sa magari ni mengi mi nkacheki plate namba fasta fasta nkaingia nkalala tusisumbuane yaani nlkua nataka nkiamka tu nkutage gari linatembea
Eeh mzee , kumbe nmepanda gari sio , hafu halisafiri siku hiyomanina walahi
Nakuja kushtuka saa moja jamaa mmoja ananiamsha anataka kusafisha gari
Aah namuulza eeh bhana eeh , tushafika , hili gari lina speed sana mheshimiwa
Ndo jamaa akawa ananshangaa namnukuu " we boya acha ujinga tusileteane nuksi "
Aisee nlisikitika sana
Nkaamua nmtafte mama angu nmuulze kuhusu hili tatzo
Mama angu akaanza kunambia " mwanangu unakumbuka shule ya msingi ulkua unalala na uniform ili ukiamka tu uende shule "
Nlcheka sana alvyonkumbushia hyo story
Nkaamua nimuache , nkamuulza mzee yaan mzee naye ni masihara sana
Akanambia matatzi kwenye maisha ako hasa haya yalianza " jamaa mmoja alipokuletea jezi ya yanga ulivyokua mdogo sana " teh nlcheka maana kweli mi ni mnazi wa yanga
3. Hii sisahau na kelelle zote za national stadium kwa mkapa nlisinzia mpaka mechi inaisha , hili huwa sisahau
Yaan wakuu nkiwa loose tu , nasinzia ani
Ni tatzo linalonitesa sana yaan sana ani
kwenye mitihani nakumbuka nlkua nafanya haraka haraka ili nimalize nilale fasta nisinzie , nashukuru Mungu sijawahi kufeli maana watu wa ufundi wanaijua engineering science o level nlipata A , ila nlimalza ndani ya masaa mawli niwahi kulala niegemee desk niupindishe , advance nkaenda pcb mambo ndo yakawa yale yale yaani nalala mno kwenye paper ila matokeo yakija nipo top 3 , yaan hapa kuna watu watantambua
Wengine wakaanza kusema mi mchaw nawaabia kwenye mtihan
Ila mungu mkubwa nkamalza nkaenda chuo nkamalza ila hali ni ile ile
yaani siwezi kuwa serious kabsa na kitu , hapa wife katoka kaniacha mtoto analia kinoma yaani swalehe kanshauri tuliache lilie maana hatujui kanataka nini , yaani kanalia n'ga n'ga n'ga tunakauliza hyo n'ga ni nini kanatutolea macho tumekaacha room najua katatambaa kutufuata dining , katuambie shida ake
wakuu nisaidieni nifanyeje maana hapa sitaki kuongelea jinsi nlivyopitilizwa vituo enzi hizo kwenye daladala yaani ni mara kibao sana
Yaani nisaidieni nifanyejw huu usingizi uishe maana aisee , nakumbuka hadi siku ya harusi angu saa nne nkawa nasinzia ukumbini sema wife alnipendea huo huo usingizi , saa tano tukaondoka
ila ile nmeona naniii , eeh hapo usingizi uliisha teh
Nsaidien bhana wakuu sijui nfanyeje hii thread nmeandika huko nasnzia snzia sana maana nmeanza kuiandika saa tisa mchana
Ila naomba tutoke mapema ili kelele karibu Na geton kwangu zipunguelabda maana hyo game nlyosnzia taifa ilkua ya stars
Jitahidi basi kwenda na mudaWaah![]()
Sina kitambi mkuu
Kwenye mambo ya muhim hasa kazin hata yaaniJitahidi basi kwenda na muda
Ule usingizi wa pono unaouskiaga ndo huo aisee!Pono
Waah
Hako apo kamwanangu swaleheWewe mzee wa comedy weka kapicha basi.
hahaHuyo mzee ashafariki
Yaan dah , naskia huyo mzee alkua baba usingizi sana
Hahah aiseeKama unasinzia ivyo na ushuzi haukuponyoki hamna shida.
Mimi hapa hadi hua naamua kutokulala hata siku tatu au nne niukusanye usingizi ili nikija kulala niufaidi.
Duh we noma. Wapne wataalam wa saikolojia.Wakuu , habari zenu
mi naitwa baba swalehe , wakuu bhana mi na shida kubwa
Teh ...
Dah kwenye maisha yangu nmekua na shida kubwa ya kusinzia na kulala kupitiliza yaani na kutokua na hofu na kitu chochote yaan kutake vitu easy sana
Ntawapa story fupi ya jinsi nlvyoachwa na magari ya mikoani , maana ni mara nyingi sana ntasimulia kwa ufupi
1. Mara ya kwanza enzi hizo nipo form three , nimelala guest house
Nakuja kushtuka saa mbili kamili asubuhi , nkawaomba wanisaidie nisafiri hivyo hivyo kesho yake
Wakakubali , ile kesho ake bhana nikajihimu ani nikaamka saa saba kamili usiku , kwenye saa kumi nkashikwa na usingizi mzito sana , nachokumbuka maana nlkaa kwenye kiti nilidondoka
ndo nkashtuka nkawah stand nkakaa nikalala tena
Muda wa safari sasa , tumefika pale iringa kuchimba dawa eeh mzee , mi nmewaambia na tatizo la kutake vitu easy sana , wametuambia dakika tano tunachimba dawa !
Mi nkatake easy nmeshakojoa nkaanza kuchezea chezea mbao flani pale nakumbuka nlkua na spana mfukon maana nlkua nasoma shule ya tech , iyunga boys
Eeh bhana , gari likaniacha ...
Kilichotokea acha hilo sitowasimulia
2. Tukio la pili , baada ya mfululizo wa kuachwa na magari mara kibao yaani mara nyingi sana , yaani mara nyingi aisee
Nikaona isiwe taabu leo nilale stand kabisa , teh kwenye saa 4 nkajongea stand ubungo , sa magari ni mengi mi nkacheki plate namba fasta fasta nkaingia nkalala tusisumbuane yaani nlkua nataka nkiamka tu nkutage gari linatembea
Eeh mzee , kumbe nmepanda gari sio , hafu halisafiri siku hiyomanina walahi
Nakuja kushtuka saa moja jamaa mmoja ananiamsha anataka kusafisha gari
Aah namuulza eeh bhana eeh , tushafika , hili gari lina speed sana mheshimiwa
Ndo jamaa akawa ananshangaa namnukuu " we boya acha ujinga tusileteane nuksi "
Aisee nlisikitika sana
Nkaamua nmtafte mama angu nmuulze kuhusu hili tatzo
Mama angu akaanza kunambia " mwanangu unakumbuka shule ya msingi ulkua unalala na uniform ili ukiamka tu uende shule "
Nlcheka sana alvyonkumbushia hyo story
Nkaamua nimuache , nkamuulza mzee yaan mzee naye ni masihara sana
Akanambia matatzi kwenye maisha ako hasa haya yalianza " jamaa mmoja alipokuletea jezi ya yanga ulivyokua mdogo sana " teh nlcheka maana kweli mi ni mnazi wa yanga
3. Hii sisahau na kelelle zote za national stadium kwa mkapa nlisinzia mpaka mechi inaisha , hili huwa sisahau
Yaan wakuu nkiwa loose tu , nasinzia ani
Ni tatzo linalonitesa sana yaan sana ani
kwenye mitihani nakumbuka nlkua nafanya haraka haraka ili nimalize nilale fasta nisinzie , nashukuru Mungu sijawahi kufeli maana watu wa ufundi wanaijua engineering science o level nlipata A , ila nlimalza ndani ya masaa mawli niwahi kulala niegemee desk niupindishe , advance nkaenda pcb mambo ndo yakawa yale yale yaani nalala mno kwenye paper ila matokeo yakija nipo top 3 , yaan hapa kuna watu watantambua
Wengine wakaanza kusema mi mchaw nawaabia kwenye mtihan
Ila mungu mkubwa nkamalza nkaenda chuo nkamalza ila hali ni ile ile
yaani siwezi kuwa serious kabsa na kitu , hapa wife katoka kaniacha mtoto analia kinoma yaani swalehe kanshauri tuliache lilie maana hatujui kanataka nini , yaani kanalia n'ga n'ga n'ga tunakauliza hyo n'ga ni nini kanatutolea macho tumekaacha room najua katatambaa kutufuata dining , katuambie shida ake
wakuu nisaidieni nifanyeje maana hapa sitaki kuongelea jinsi nlivyopitilizwa vituo enzi hizo kwenye daladala yaani ni mara kibao sana
Yaani nisaidieni nifanyejw huu usingizi uishe maana aisee , nakumbuka hadi siku ya harusi angu saa nne nkawa nasinzia ukumbini sema wife alnipendea huo huo usingizi , saa tano tukaondoka
ila ile nmeona naniii , eeh hapo usingizi uliisha teh
Nsaidien bhana wakuu sijui nfanyeje hii thread nmeandika huko nasnzia snzia sana maana nmeanza kuiandika saa tisa mchana
Siipo huko nchinKaribu Lutindi Mental Hospital mkuu hakuna shaka hilo tatizo lako watalipatia namna sababu kuna wengine ambao huwa hawalali kabisa na wapo mule na.wanapata utatizi, kwahivyo hata wewe nina imani utapata tiba hapo.
Kuna vya ukweli na vya kutungaUmetungaaa hii story
nmecheka sanahaha
huyu mzee inawezekana hakufa ila alisinzia sana
wakamzika kumbe amelala hajafa..........