Baadhi ya watu wenye asilli ya mkoa wa Tanga unaweza kuwatambua kwa rangi ya ngozi yao na zaidi kwa maumbile ya midomo yao

Salary Slip

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
46,888
143,985
Katika utafiti wangu usio rasimi,nimegundua kuwa baadhi ya watu wa mkoa wa Tanga unaweza ukawagundua kwa rangi ya ngozi yao ambao wengi ni weupe ile wana feature moja ya zaidi na ambayo ni ya kipekee na hii si nyingine bali ni ile inayohusiana na maumbile ya midomo yao.

Ukiona mtu ni mweupe alafu ana maumbile ya mdomo yasiyo ya kawaida(mfano lips kuwa kubwa au kujitokeza zaidi kwa mbele,n.k) basi kuna uwezekano mkubwa kuwa mtu huyo ana asili ya mkoa wa Tanga.

Mfano mzuri ni waziri mmoja ambae ni mwenyeji wa mkoa huo na maumbile yake ya mdomo yana muonekano wa tofauti kidogo na maumbile ya kawaida ingawa si kilema au kasoro kubwa ya kumfanya mtu aonekane ana kasoro katika mwili wake.

Hili ninalolisema,huenda watu wengi tu wanaliona kwa maana ya kuona watu wenye midomo hii ila wakiona wanaona alafu wanasahau,wanaona kawaida tu, hawafuatili au kuchunguza hivyo sio rahisi kugundua unlless umechunguza.

Fanya utafiti na wewe utagundua hili ninalosema.
 
Katika utafiti wangu usio rasimi,nimegundua kuwa baadhi ya watu wa mkoa wa Tanga unaweza ukawagundua kwa rangi ya ngozi yao ambao wengi ni weupe ile wana feature moja ya zaidi na ambayo ni ya kipekee na hii si nyingine bali ni ile inayohusiana na maumbile ya midomo yao.

Ukiona mtu ni mweupe alafu ana maumbile ya mdomo yasiyo ya kawaida(mfano lips kuwa kubwa au kujitokeza zaidi kwa mbele,n.k) basi kuna uwezekano mkubwa kuwa mtu huyo ana asili ya mkoa wa Tanga.

Mfano mzuri ni waziri mmoja ambae ni mwenyeji wa mkoa huo na maumbile yake ya mdomo yana muonekano wa tofauti kidogo na maumbile ya kawaida ingawa si kilema au kasoro kubwa ya kumfanya mtu aonekane ana kasoro katika mwili wake.

Fanya utafiti na wewe utagundua hili ninalosema.
Naona hili la Ebola linakutesa sana!
 
Tanga kubwa sheikh! Ungesema wakazi wa Tanga Mjini, labda kidogo ningekuelewa. Wasambaa wa Lushoto na Korogwe hatuna hata chembe ya hizo sifa ulizozitaja.

Na siyo vizuri kutuchanganya na Wadigo, Wabondei, nk. Labda Wazigua! napo kwa mbaaali!
 
Katika utafiti wangu usio rasimi,nimegundua kuwa baadhi ya watu wa mkoa wa Tanga unaweza ukawagundua kwa rangi ya ngozi yao ambao wengi ni weupe ile wana feature moja ya zaidi na ambayo ni ya kipekee na hii si nyingine bali ni ile inayohusiana na maumbile ya midomo yao.

Ukiona mtu ni mweupe alafu ana maumbile ya mdomo yasiyo ya kawaida(mfano lips kuwa kubwa au kujitokeza zaidi kwa mbele,n.k) basi kuna uwezekano mkubwa kuwa mtu huyo ana asili ya mkoa wa Tanga.

Mfano mzuri ni waziri mmoja ambae ni mwenyeji wa mkoa huo na maumbile yake ya mdomo yana muonekano wa tofauti kidogo na maumbile ya kawaida ingawa si kilema au kasoro kubwa ya kumfanya mtu aonekane ana kasoro katika mwili wake.

Fanya utafiti na wewe utagundua hili ninalosema.
Wameoewa lips ziliotokeza mbele zaid ili ziwasaidie kunyonyana vizuri, si unajua mapenzi yameanzia Tanga...
 
Tanga kubwa sheikh! Ungesema wakazi wa Tanga Mjini, labda kidogo ningekuelewa. Wasambaa wa Lushoto na Korogwe hatuna hata chembe ya hizo sifa ulizozitaja.

Na siyo vizuri kutuchanganya na Wadigo, Wabondei, nk. Labda Wazigua! napo kwa mbaaali!
Pamoja na yote uliosema,je,kuna ukweli?
 
Tanga unaijua vizuri mzee?

Tanga ina mgawanyiko wa makabila zaidi ya 7 ambayo unaweza kuyagawanya katika makundi 3

1.Wasambaa, Wazigua, Wabondei na Wanguu

2. Wadigo, Wasegeju

3. Wagunya, Washirazi, Wagiriama na wageni wengine wenye asili ya kiarabu

Je wewe unazungumzia kundi gani kati ya haya.
 
Aisee! Nyie akina Salary Slip kuna siku ikija vita ya kikabila mnaweza kuniua bila kosa!!! 70% ya watu ninaokutana nao na wenyewe wanadhani nami ni mtu wa Tanga, huku 30% wakidhani mimi ni Mchaga lakini licha ya kuwapenda mademu wa Kichaga na Kitanga, sina mafungamano yoyote na hiyo mikoa!!!!!

Ila huenda nitasalimika hapo kwenye midomo ya kiummy ummy!!!
 
Pamoja na yote uliosema,je,kuna ukweli?
Salary Slip mbona safari hii umekuja kivingine? haiajawahi kuandika Mada km hizi za kitafiti
usichoke Mkuu rudi katika siasa achana na hawa wasiojulikana kwa sasa wanaumbuana wenyewe
mm nimeoa Tanga, Wadigo, Wasambaa, Wanguu mbona ni tofauti sana
na hata ukitembelea kwao wana sura tofauti labda wale wa Pwani wanashabihiana na wavisiwani na hata maumbile kwa nyuma km Wachagga tu
unajua Msukuma Mnyakyusa na Mhaya wakifika Tanga utawatofautisha tu kikazi, mavazi hata kutembea licha ya lafudhi na maumbo lakini midomo wanaweza kufanana
IMG-20190912-WA0033.jpg
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom