😂😂😂kiuhalisia ku discuss hii mada ndo kunachocheaa vitendo hivi. Ila wabongo niwa nafiki 99% wanajifanya walikataa kusagwa au kusagana au kulawitiwa au kulawiti. Au kulawatiana. Ila ukweli nikwamba saivi straight people wamepungua hivi vitendo vimeshamiri na watu wana comments for fun ila ukweli...
Hili shirika nahisi linataka attention tu. Na wana watu wao tayari maana kuna kipind nilimpelekea application dogo nikakuta wengne maombi yao yanachukuliwa kwa simu😂mtu anafika MDH HQ anapiga simu staff anakuja kuchukua bahasha wengne mnaacha mapokezi au kwa mlinzi.
Kama field hivi ushawaza ajira itakuwaje😆 jiamin. Na ukienda kwenye ofisi usiache barua ya field kwa mlinzi au mapokezi omba kuonana na department husika ukishindwa hata hr au manager. Mostly top rank staff hawana shida. Kimbembe nihawa wanaopokea hela ya mboga😬
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.