Recent content by castor magnus

  1. castor magnus

    Madawa ya Kulevya na aibu ya Tanzania - Yatosha sasa!

    Halafu nchi haijengwi na serikali pekee Bali hata wewe unaweza kusaidia
  2. castor magnus

    Russia atangaza kuwa yeye ndiye mbabe wa kivita dunia nzima!!!

    Duuuuh but always I thinks cold war between these two blocks still exist but for sure we have to see and observe what is gonna happen
  3. castor magnus

    Zitto Kabwe: Kufufua ATCL ni shabaha yetu sote Watanzania. Tunapishana kwenye mbinu za utekelezaji

    Kwani mkaguzi na mthibiti mkuu wa serikali anazungumziaje hii issue, maana sio sisi tukawa na data za uwongo buree
  4. castor magnus

    Tunakosea tunapoacha kuwashirikisha watoto wetu mafanikio yetu mapema

    Oooh maisha magumu wakati wao ndo waamuzi wa maisha yao sio tena kulaumu mtu wowote..
  5. castor magnus

    Tunakosea tunapoacha kuwashirikisha watoto wetu mafanikio yetu mapema

    Daaah hiyo itasaidia sana hata kuepusha makundi ya vijana waliokata tamaa na kuanza kushawishika kuingia kwenye makundi ya kuharibu amani ya nchi yetu eti oooh maisha magumu, tunaitisha mgomo juu ya serikali so parents should teach their young to depend on themselves
  6. castor magnus

    Wasafi TV kuanguka kabla ya kuanza

    Kwani diamond platnumz tangu alivyokuwa na ulezi wa Paul makonda kwani fan base yake imepungua?? Kama sio basi watu 4 million ambao wanamsupport yeye wataendelea kumsupport tu, mziki ni kitu ambacho kinatuburudisha tukiwa na huzuni hata uchovu so tutaendelea kumsupport diamond platnumz simbaaaaa
  7. castor magnus

    Rais Magufuli kuzindua ukuta katika migodi ya Tanzanite Mirerani

    Kwani rais kuzindua ukuta Kuna ubaya... Kwa maana nyinyi si mmemtuma akafanye kazi ikulu, halafu kwani akizindua yeye Kuna ubaya gani au akizindua waziri au mkuu wa mkoa Kuna kitu kitabadilika?? Jamani halafu sio kila kitu tunabeza vyengine tuviache
  8. castor magnus

    Ndege zina faida gani kwa Mtanzania?

    Unajua ukisema watu hawapandi hizo ndege kutokana na ugumu wa maisha, but ukiangalia Kwani wangapi wanakwenda kufanya utalii wa ndani sisi kwa sisi, so sio lazima Kwamba eti Mtu apande ndege LA hasha serikali imefanya sana kukuza utalii wetu kwa wageni vile vile kupata na kuoongeza pesa za...
  9. castor magnus

    Leo hii kuna mpinzani gani atakuwa mzalendo?

    That is few people who can write a things like you did... Actually you are a greater thinker
  10. castor magnus

    Huduma za Afya Nchini ni Mbovu. Ushahidi ni Mlundikano Meli ya Wachina

    Hivi jamani hamjui kama Tanzania and China we cooperate to each other because Kuna kitu called international integration kwahyooo wachina Kuja bongo kawaida ndugu zangu
  11. castor magnus

    Kama Taifa ni wapi tumekosea? Mbona kama Magufuli anaipoteza nchi??

    Tatzo bongo kila kitu tunaponda inflated to our president sasa don't you see kama huo ni upinzani....???
  12. castor magnus

    Kama Taifa ni wapi tumekosea? Mbona kama Magufuli anaipoteza nchi??

    Halafu hivi una statistics za nchi zenye uchumi mkubwa.... Halafu jiuulize kwanini nchi ya INDIA ni nchi ya 5 kwa kuwa na uchumi mkubwa halafu watu wake ni maskini sana.... Daaaaah jamani ww kuwa na pesa nyingi sio ndo uchumi unakuwa Bali unaporomoka
  13. castor magnus

    Kama Taifa ni wapi tumekosea? Mbona kama Magufuli anaipoteza nchi??

    But kutokana na huu upinzani hata siku tukaamua tuwe na rais mmoja Africa nzima I thinks bado watu watahitaji au wataendelea kuleta upinzani ambao Hauna hata umuhimu katika bara but nahisi yote ni kwasababu ya conformist of interest to several people in our continent.....
  14. castor magnus

    Kama Taifa ni wapi tumekosea? Mbona kama Magufuli anaipoteza nchi??

    Oya we ni upande wa pili nn??? It seems wewe ndugu yangu una two kk(kusoma na kuandika) lakini kumbuka siku hizi Kuna 4 kk
  15. castor magnus

    Zitto: Serikali iko tayari kulipia ndege Sh1 trilioni kuliko kuokoa wakulima 1.4M wa tumbaku kwa Sh150 bilioni tu

    Duuuh sasa ivi ni zitto kabwe sio tundu antipathy lissu??? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Back
Top Bottom