Recent content by captain26

  1. captain26

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Habari mwl. Mimi natafuta mwl wa kubadilishana nae niko chalinze maeneo ya mdaula shule mdaula sec nije upande wa bagamoyo kerege sec au zinga sec au shule ilipo barabara ya kwenda bagamoyo kupitia bunju.... Kama upo ni pm
  2. captain26

    Majogoo chotara wanauzwa hapa Dar es salaam (T/segerea)

    wiseboy....mfalme na malawi
  3. captain26

    Majogoo chotara wanauzwa hapa Dar es salaam (T/segerea)

    super nova.....sorry kuchelewa kureply ila vifaranga hamna
  4. captain26

    Majogoo chotara wanauzwa hapa Dar es salaam (T/segerea)

    Hallo wa jf ninajogoo wangu machotara na wakubwa wenye afya wanuzwa 17000/= lakini pia bei inapungunzwa na kwale ambao wanahitaji kuanzia wawili tunaelewana kwa bei poa.. napatikana tabata segerea. Tuwasiliane 0718336163.
  5. captain26

    Nauza majogoo chotara kwa ambaye yupo Dar es salaam

    kiabasaka. Yaani hawana mchezo hilo ninakuakikishia wanafanya kazi yao maana matetea wanaatamia na kutotoa.
  6. captain26

    Nauza majogoo chotara kwa ambaye yupo Dar es salaam

    Hallo wa jf ninajogoo wangu machotara na wakubwa wenye afya wanuzwa elfi 19000/= lakini pia bei inapungunzwa na kwale ambao wanahitaji wengi tunaelewana kwa bei poa.. napatikana tabata segerea. NB. Kama hupo mbali ukiitaji kuanzia kumi nakufikishia ulipo Tuwasiliane kwa 0718336163.
  7. captain26

    Change ur life o Die

    Asante mkuu ndo ukweli huo
  8. captain26

    Laiti kama mioyo ingekuwa wazi kama USO....

    Pole mambo yanovokuwa wakati mwingine ni uvumilivu tu
  9. captain26

    I am looking for a single parent to marry me

    Keep it up
  10. captain26

    Hodi

    Habari za humu wakuu mi mgeni humu
  11. captain26

    Usipoangalia haya yanaweza kukuondolea unadhifu wako

    Pia na wale wasio swaki namaanisha nakunuka mdomo
  12. captain26

    Mi mgeni humu wadau

    Napenda sana hapa chit-chat sasa nilitaka kujua vigezo na mashariti
  13. captain26

    Kwa wanaume tu, wanawake msome tu

    Hajiamini huyo wengi wao wanakua hawaja mfanya
  14. captain26

    Faraja: Matokeo Ya Ufugaji Wa Kuku

    Mkuu Mapolomoko nami naomba unitumie niongezee ujuzi maana hawa kuku si mchezo email yangu ni kamugisha89@gmail.com
Back
Top Bottom