Haya FaizaFoxy, mi nanunua kesi hii. Nyerere katusaidia kupata uhuru wetu, pamoja na wazulu wako hao kuwa walikuwepo, lakini waliona yeye ndiye anaweza. Wakamtoa kazini, wakamtambikia na mbuzi kule Bagamoyo, Nyerere akaenda kwa wazungu akaleta uhuru. Tuache yooote mengine aliyoyafanya, alikuwa...