ni kesi ambayo ukihisikiliza unabakiwa na maswali mengi mno lakini nazani ndani ya hii kesi kuna vingi mno tusivovijua na kamwe atuwezi kuvijua na kwakua mahakama imeshatoa mahamuzi yake kwa kujilizisha na ushaidi uliopatikana je sisi ni nani dont cry
himani ni kitu kigumu sana. kwaiyo nazani ivo ndivyo ww unavohamini ila tu nikufahamishe kuwa kile ambacho wewe unahamini akiwezekani amini kwa mtu mwingine uwa kinawezekana
uku uku kwenye betting unaweza ukaweka maarifa yako na ubunifu alafu ukaja ukapata mfumo bora sana utakaokuwezesha kuwa unatengeneza pesa nyingi kuliko kiasi unachopoteza(lakini ni mchakato mrefu sana) kinachowaponza wabetiji wengi sana uwa wanabeti kwa hisia zao tu na si kwa mifumo yao kwa mtu...
tatizo ni kwamba watu awajuhi kuhusu ni nini mahana ya imani, imani ni proses ama mchakato mrefu sana ambao mtu anautengeneza ama kuhuumba yeye mwenyewe mfano mzuri mtizame mbeba vyuma uwa anaanza kunyanyua vyuma akiwa ni ziro kabisa lakini kwa kuwa uwa andaendelea na zoezi kila siku basi mara...
mangi kwenye suala la kubeti nazani uwa inategemeana na jinsi unavobeti uwa unabeti beti vipi kwa kua ata sisi uwa tunabeti ila linapokuja swala la kupeleka moto kwa kweli moto uwa unapelekwa kweli kweli ila mchango wangu kwa mtoa mada kama endapo uwa inasimama ata kidogo ajaribu kunywa nyagi au...
nb pumzika kwa amani mtu wangu nimegundua kuwa ukuweza kuhuimili uwezo na pia namuonya yeyote yule ambae ataona dalili mbaya basi ni vema akakaa mbali kabisa na aya maswala
aliekua rafiki angu wa karibu sana ambae tulikua tunashilikiana mambo mengi sana ya muhimu mara baada ya shuguri zetu ilikua ni desturi yetu lazima tujipongeze na pombe kabla ya kurudi nyumbani baada ya kuwa tumelewa njiani tulikua tunaendesha usafiri kibabe sana na ikitokea tumekutana na tukio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.