Recent content by camp konzi

  1. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Sheria ya Tanzania inaruhusu kumuua mtu anaekutishia kukubaka/kukulawiti/kukudhuru kimwili katika harakati za kujihami

    ni kesi ambayo ukihisikiliza unabakiwa na maswali mengi mno lakini nazani ndani ya hii kesi kuna vingi mno tusivovijua na kamwe atuwezi kuvijua na kwakua mahakama imeshatoa mahamuzi yake kwa kujilizisha na ushaidi uliopatikana je sisi ni nani dont cry
  2. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    himani ni kitu kigumu sana. kwaiyo nazani ivo ndivyo ww unavohamini ila tu nikufahamishe kuwa kile ambacho wewe unahamini akiwezekani amini kwa mtu mwingine uwa kinawezekana
  3. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Serikali idhibiti Betting mapema inaandaa taifa la watu wajinga wa bahati nasibu wavivu wa kufikiri na kutenda wasio na future kabisa

    uku uku kwenye betting unaweza ukaweka maarifa yako na ubunifu alafu ukaja ukapata mfumo bora sana utakaokuwezesha kuwa unatengeneza pesa nyingi kuliko kiasi unachopoteza(lakini ni mchakato mrefu sana) kinachowaponza wabetiji wengi sana uwa wanabeti kwa hisia zao tu na si kwa mifumo yao kwa mtu...
  4. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Je, umewai kujiuliza kwanini hutosheki?

    safi sana mkuu umetema madini
  5. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ukihitaji kitu hapa duniani, unahitaji kuwa na pesa. Ukihitaji kitu chochote kutoka kwa M-ngu, unahitaji IMANI.

    tatizo ni kwamba watu awajuhi kuhusu ni nini mahana ya imani, imani ni proses ama mchakato mrefu sana ambao mtu anautengeneza ama kuhuumba yeye mwenyewe mfano mzuri mtizame mbeba vyuma uwa anaanza kunyanyua vyuma akiwa ni ziro kabisa lakini kwa kuwa uwa andaendelea na zoezi kila siku basi mara...
  6. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kauli hizi, jua umekwishakufa, bado kuzikwa tu

    binadamu kamili ni lazima ujue kucheza rafu na kubalance kidogo,safi sana apa ndipo nilipokuelewa uku kwetu uwa tunaitaga kun'gata na kupuliza
  7. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Nahitaji namba ya daktari wa afya ya uzazi kwa wanaume , nasumbuliwa na tatizo la ukosefu wa nguvu za kiume

    mangi kwenye suala la kubeti nazani uwa inategemeana na jinsi unavobeti uwa unabeti beti vipi kwa kua ata sisi uwa tunabeti ila linapokuja swala la kupeleka moto kwa kweli moto uwa unapelekwa kweli kweli ila mchango wangu kwa mtoa mada kama endapo uwa inasimama ata kidogo ajaribu kunywa nyagi au...
  8. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    yah bila shaka kabisa
  9. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    nb pumzika kwa amani mtu wangu nimegundua kuwa ukuweza kuhuimili uwezo na pia namuonya yeyote yule ambae ataona dalili mbaya basi ni vema akakaa mbali kabisa na aya maswala
  10. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    sawa ngoja niendelee kupiga chupa nyingine
  11. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    nazani itakua ni kipaza sauti
  12. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    aliekua rafiki angu wa karibu sana ambae tulikua tunashilikiana mambo mengi sana ya muhimu mara baada ya shuguri zetu ilikua ni desturi yetu lazima tujipongeze na pombe kabla ya kurudi nyumbani baada ya kuwa tumelewa njiani tulikua tunaendesha usafiri kibabe sana na ikitokea tumekutana na tukio...
  13. camp konzi

    JamiiForums Tanzania Ni nini hutokea mara baada ya mtu kunywa pombe

    kibaya ni kuzidisha kipimo
Back
Top Bottom