nzalendo
Platinum Member
- May 26, 2009
- 12,952
- 14,773
Yap! Nguvu za kiume ambazo kwa sasa ni gumzo.
Zamani tulikuwa na utaratibu kila msimu wa mwaka majira fulani tunakunywa dawa za miti shamba za kusafisha tumbo.
Naam...kusafisha tumbo manake magonjwa 98% chanjo ni tumboni.
KUna dawa fulani ya miti inachemshwa inatoa rangi nyekundu kama mti wa mtarangela unakunywa mapema usubuhi kabla ya kula chochote,
Kwa Iringa kulikuwa na dawa fulani ya ungaunga inatoka kwenye miti fulani unachanganya kwenye uji chai au maji ya moto,,kama sikosei ilikuwa inaitwa'' ndyamgongo''
Dawa nyingine ilikuwa mafuta ya mkia wa kondoo unachanganya na asali ya nyuki wadogo,
Kitu kingine kilichotusaidia mpaka sasa bado ni vijogoo ni mboga za asili kama mkalifya mnafu na matunda pori.
Madonga ni matunda pori ya asili hayajapigwa dawa wala kutiwa mbolea wala sumu ya aina yeyote pia mikusu, mikalifya, mifudu, misasati mpaka ngoweda kwa kule kilimanjaro.
USHAURI WAWEZA UFANYIA KAZI AU WAWEZA UPOTEZEA VILEVILE,,,AU SIO VP BWAN'
Zamani tulikuwa na utaratibu kila msimu wa mwaka majira fulani tunakunywa dawa za miti shamba za kusafisha tumbo.
Naam...kusafisha tumbo manake magonjwa 98% chanjo ni tumboni.
KUna dawa fulani ya miti inachemshwa inatoa rangi nyekundu kama mti wa mtarangela unakunywa mapema usubuhi kabla ya kula chochote,
Kwa Iringa kulikuwa na dawa fulani ya ungaunga inatoka kwenye miti fulani unachanganya kwenye uji chai au maji ya moto,,kama sikosei ilikuwa inaitwa'' ndyamgongo''
Dawa nyingine ilikuwa mafuta ya mkia wa kondoo unachanganya na asali ya nyuki wadogo,
Kitu kingine kilichotusaidia mpaka sasa bado ni vijogoo ni mboga za asili kama mkalifya mnafu na matunda pori.
Madonga ni matunda pori ya asili hayajapigwa dawa wala kutiwa mbolea wala sumu ya aina yeyote pia mikusu, mikalifya, mifudu, misasati mpaka ngoweda kwa kule kilimanjaro.
USHAURI WAWEZA UFANYIA KAZI AU WAWEZA UPOTEZEA VILEVILE,,,AU SIO VP BWAN'