Si Dhani kama mwandishi ni Shabiki wa Yanga .Hizo zilikuwa tetesi Yanga hawakuwahi kutangaza kumhitaji Larry ni tetesi kama ukisikia Arsenal wanataka kumsajili CR7 za weza kuwa za kweli au zisiwe za kweli .Tusilazimishe walete wachezaji ambao watakuja kuvurunda kama Yikpe afu tukawalaum.
Acha...
Naomba kufahamu iwapo kuna mtu alikuwa anasoma chuo kipo A lakini kutokana na changamoto hakuweza kumalizia kutokana na majukumu. Siwezi kuwa naendelea na Masomo katika chuo hicho nataka nikahamie sehemu iliyo karibia na sasa ni mwaka wa 4 anataka kuhama chuo chenye course zinazoendana ili...
Nashukuru sana Mwenyezimungu kuniumba Mwana Africa wale waliojivunia uzungu na kufanya uvaguzi sasa wanaona Mungu anavyotulnda Watu wake.Sisi waafrika si chochote ila ni Ulinzi kutoka kwa Mungu.
Anajua hatuna hela ya Kupulizia Dawa mitaani na Barabarani so acha mungu aendeleee kutulnda Viumbe...
Team wanatakiwa waajiri Mtendaji mkuu Ambae ataisaidia team na Afisa masoko watakao saidia team kupata vyamzo vipya vya Mapato .hela yote ya sasa ya team inaishia kwenye Band na Posho.kwa Mashabiki.Kikubwa viongozi wajitathmini suluhisho kuwa na team uenye ushindani na ishindani hautakiwi kuwaza...
Mwanzo wa Arsenal kuanza kuamka na kuanza kutembeza kichapo kwa sasa .Team ina hali mbaya Koacha na wachezaji wote wanatafuta namna bora ya kuridi kwenye kiwango usiku wa leo naiona Arsenal yenye ushindi mnono wa Mabao 3 -1.
Moja ya Mpinzani inaonesha ubovu wa Beki ya Arsenal kuwa yanaijika...
In Tanzania most of them their are not intereted on twitter they Prefer to use other socia networks rather than Twitter. Twitter is considered as the elite and educated.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.