Recent content by Calvic

  1. C

    Msaada kutoka kwenu wataalamu

    Nina simu yangu ya Samsung GT-S5603 imegoma ya touch screen imegoma kabisa kusense kwenye kioo,nashindwa hata kuitumia,ipo ipo tu,naombeni msaada wenu kwa wale wenye kujua jinsi ya kuitengenezea ama ni mafundi gani wazuri wanaweza kuitengeneza.asanteni sana.
  2. C

    Msaada wa External disc.

    Jamani nataka kununua external Disc ya GB 500,naombeni mnijuze ipi ni nzuri na Tsh ngapi?
  3. C

    Kwa wajuzi na wataalamu wa komtyuta msaaada plsee........!

    Nataka kununua external hard disk mpya ya GB 500,nilikuwa nauliza ni aina gani nzuri na inapatikana wapi na Tsh ngapi.
  4. C

    Bila ya Kujadili Muungano Wazanzibar itakuwa hawana cha kujadili

    Good erabolation,I guess something went wrong when Tz mainland and Tz Isles united,we have to sit down and discuss in details so as to reach the acceptable and satisfactory answer for the mass.
  5. C

    Polisi

    Ha ha haaa,hiyo ndio bongo TZ
  6. C

    Ukivaa sketi usipande mtini

    Ufisadi,ubadhirifu etc wa viongozi una mwisho(na sio mbali ni hivi punde tu)kwn hawa viongozi wetu Wanaruka sarakasi wakati wamevaa Taulo,Sisi ndio wasimamizi wa mtihani siku ya kupiga kura na tunajua majibu yao,Tusubiri 2015,jibu litapatikana. Mungu wabariki watanzania masikini na waliokosa...
  7. C

    Hapa anaelekea wapi?

    Haaaaa,mmekosea anawaza style mpya ya mambo yetu yaleee.
  8. C

    Madiwani wa CUF BK Kuingia CDM

    Peoplessss poweerr.
  9. C

    Hello..

    whats up pple,am lucky to have the room in JF
Back
Top Bottom