Kwani tiss wa mkoa na wilaya huwa hawajulikani? Kwani kazi yao inaathiriwa na kujulikana tiss wa ngazi ya chini ndo hawapaswi kujulikani achen majungu Namuamini MAGU!!!! Endelea kuwabana huy ndiye rais wa ahadi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya vote je umejaribu kumkalisha at least sekunde tano? kama analia sana,na hakai jitahidi kuwa karibu na daktar hilo tatizo lilishatokea kwenye familia yetu kama halii na anakaa kidogo itakuwa ni unene
Hii ndo Tanzania bhana ingekuwa mashabiki wa soka la Tanzania tungekuwa tunapiga kura mayay angekuwa rais ila huko kwa wenzake lazima wampige chini ila jamaa anakubalika sanaaaa kika la kheri mayay
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.