Naomba kujua kwa mtu atakaye fanya kaz TFDA( ukaguzi wa vyakula) anaweza kusoma koz gani na vyuo gan vinatoa koz hiyo kwa ngaz ya diploma ??
Msaada wa mapema unahitajka plz...
Sent using Jamii Forums mobile app
Msaada wa mapema unahitajka plz...
Sent using Jamii Forums mobile app