Kama Tz imeshindwa kujitawala hata wenzetu black watatutawala nchi ishauzwa we endelea kufikilia watusi kurudishwa kwao inakula kwako fanya jitihada utoke kivyako kama unategemea sirikali imekula kwako. Viongozi hawajali maslahi ya nchi, hawajali raiaa. Hawajali rasimali za nchi ndo kama hao...
Chuki juu ya watutsi waacheni watumie akili zao kufanya mambo yao. Sasa kam tz tumelala tunasubiri moaka tuamshwe acha wajanja wale vyao. Big up Mseven na Kagame.
Mwanzisha mada naona hujafukiria vizuri! Kila siku wanakufa watu wengi sana kwahiyo rais unataka ahudhurie misiba yote ataweza? Inategemea huenda hao walifariki akiwa katika majukumu ya kitaifa hata hivyo ana utashi wa kuamua ni msiba upi ahudhurie. Acha lawama kwa mr president bana!!
Mtikila anakurupuka! Huo waraka wake hauna msingi wowote! Kama vip aache dini aingie kwenye siasa! Mshika mbili moja humponyoka! Tz inalinda mipaka yake na usalama wa raia ila ni chuki zakae binafsi na kutaka kuchafua ccm. Mtikila a.k.a wa kutoa hoja zisizo na msingi.
Cha msingi mkutane mjadiliane namna ya kutoa hiyi michango ikiwa ni pamoja na kufungua acc maalumu kwa ajili ya michango hiyo ili kuepuka pepo la kupotea nazo.
huyu bibi kadata si kidogo maana yeye mwenyewe ndo amekuwa kiongozi wa kukiua chama kwa kuzuia mijadala muhimu bungeni na ccm waliingia chaka kwa kumteua kuwa spika sijui hata vigezo ilikuwa ni nini spika wa ukweli alikuwa mh!6.
Habari zenu wana jf. Mimi nimependa sana jinsi mnavyoelimishana na kupeana updates. Mimi ni new member na ninadhani tutaendelea kubadilishana mawazo. Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.