Kati ya makosa ambayo Mbowe yatamgharimu, ni hili la kupotea kwa Ben. Then akakaa kimya. Kiukweli sababu zinazotolewa hazina msingi wala mashiko, kwa hapa sitaki ushabiki
Thubutu!!! Hakuna promota anaweza kuingia kwenye huo mtego. Mond wanamjua vizuri.na kimoyomoyo wanamkubali
Sent from my TECNO-Y2 using JamiiForums mobile app
Naona watu wenyeakili zao wanajenga hoja zenye mashiko. Af wanasahau kuwa lumumbaz hawahitaji hoja. Wao wanachojali ni kuwa wametumia bando zao, zile za buku saba ya siku. Hiyo ndio kazi yao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.