Recent content by cabsul

  1. C

    Sisi sio ngoro tena

    Ukimaanisha kuwa tayari vipovikosi vimeandaliwa kwa hio vurugu??? Mnatishia vurugu sana watanzania na yaonyesha hata kisu hakijawahi kukukata
  2. C

    Maswali tata kifo cha Mchungaji Mtikila

    Kweli kwa ajali ionekanavyo na maelezo mafupi uliyotoa naungana mkono nawewe kua ajali ichunguzwe kwa kina... Naona wengi tumejikita ktk kuchambua namna ya ajali zinvyokua na ufaji wa mtu,kwangu hio haina mashiko zaidi.. Ila ukweli uchunguzi wakina ufanywe na kuna majina flani yawatu yametajwa...
  3. C

    Sasa itoshe basi,CCM na Bulembo acheni kutusakama Walutheri

    Wewe jamaa ni mbaguzi tena mbaguzi haswaa... Bulembo alichoongea ni kukemea ile kauli ya lowasa na kauli za gwajima kwa barua ilitolewa na taasisi ya akina khalfani.... Unaonyesha dhahiri kutoitakia mema nchi yetu..... Watu kama ninyi ndio mnafanya watu tuchukue kupiga kura kwa upinzan 7bu...
  4. C

    TANZIA Mch. Christopher Mtikila afariki baada ya kupata ajali, Msolwa - Chalinze mkoani Pwani

    Mungu ailaze roho yake pema..... Mungu alitoa nayeye ndie ametwaa
  5. C

    Ndege za Kivita angani, nini sababu?

    Kumbe kunaukomo wa nyakati kwa jeshi kurusha ndege zao....?!!!! Hatkupewa taarifa kumbe kunakanuni inayopelekea jeshi kutoa taarifa kwa wananchi pindi ikirusha ndege zake ama tukio lolote la kijeshi???!!!.. Asante kunijuza hayo sikulijua ilo kama lipo nchin kwa usemi wa nchi ya amani
  6. C

    Unamfahamu Halifa Hamisi, kiongozi wa Taasisi ya kiislamu iliyotoa tamko la Imam Bukhary?

    Nilijua alichoongea kiongoz yule wa dini hayakuongelewa na Gwajima pamoja na rafiki yke Lowasa.... Udini na udhehebu alioueleza ndio twaka majibu kutoka kwa wahusika sio mtu wa mtaani tu.... Kumbuka kunamaisha baada ya uchaguzi na mwisho wa ubaya daima aibu......
  7. C

    Niende s/Africa au Mauritius?

    Kaka achakuropoka ninaishi cape town na hio ndio naul halali ya Tz to cape bus ya company ya Falcon wanatoza dollars 100 ..... Na kama unaakili za kutumia Taqwa kumbuka haiingii harare till watakapomaliza kesi yao.... Kinachotuumiza watazania ujuaji mwingi.... Ninapozungumzia usafiri...
  8. C

    UKAWA waongea na Waandishi wa Habari kuhusu Utafiti wa TWAWEZA

    Last ya tafiti ni 25 kelele hazisaidii kitu
  9. C

    Niende s/Africa au Mauritius?

    Nenda south.. Fikia cape town 7bu miji mingine sifahamu mizunguko yake sijawahi iishi... Kaa mbali na wabongo na wanaijeria(wapopo)...... Fikia hoteli zilizopo biavo... Ila kama mfuko ni mnene nenda watarfront kunasehem za wanene zaid za kulala..... Usiende kwenye vitaven vya biavo ila kale...
Back
Top Bottom