Kweli kwa ajali ionekanavyo na maelezo mafupi uliyotoa naungana mkono nawewe kua ajali ichunguzwe kwa kina...
Naona wengi tumejikita ktk kuchambua namna ya ajali zinvyokua na ufaji wa mtu,kwangu hio haina mashiko zaidi..
Ila ukweli uchunguzi wakina ufanywe na kuna majina flani yawatu yametajwa...
Wewe jamaa ni mbaguzi tena mbaguzi haswaa...
Bulembo alichoongea ni kukemea ile kauli ya lowasa na kauli za gwajima kwa barua ilitolewa na taasisi ya akina khalfani....
Unaonyesha dhahiri kutoitakia mema nchi yetu.....
Watu kama ninyi ndio mnafanya watu tuchukue kupiga kura kwa upinzan 7bu...
Kumbe kunaukomo wa nyakati kwa jeshi kurusha ndege zao....?!!!!
Hatkupewa taarifa kumbe kunakanuni inayopelekea jeshi kutoa taarifa kwa wananchi pindi ikirusha ndege zake ama tukio lolote la kijeshi???!!!..
Asante kunijuza hayo sikulijua ilo kama lipo nchin kwa usemi wa nchi ya amani
Nilijua alichoongea kiongoz yule wa dini hayakuongelewa na Gwajima pamoja na rafiki yke Lowasa....
Udini na udhehebu alioueleza ndio twaka majibu kutoka kwa wahusika sio mtu wa mtaani tu....
Kumbuka kunamaisha baada ya uchaguzi na mwisho wa ubaya daima aibu......
Kaka achakuropoka ninaishi cape town na hio ndio naul halali ya Tz to cape bus ya company ya Falcon wanatoza dollars 100 .....
Na kama unaakili za kutumia Taqwa kumbuka haiingii harare till watakapomaliza kesi yao....
Kinachotuumiza watazania ujuaji mwingi....
Ninapozungumzia usafiri...
Nenda south..
Fikia cape town 7bu miji mingine sifahamu mizunguko yake sijawahi iishi...
Kaa mbali na wabongo na wanaijeria(wapopo)......
Fikia hoteli zilizopo biavo...
Ila kama mfuko ni mnene nenda watarfront kunasehem za wanene zaid za kulala.....
Usiende kwenye vitaven vya biavo ila kale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.