Sisi sio ngoro tena

Sisi sio ngoro tena

Mkwawabongo

Senior Member
Joined
Jul 28, 2015
Posts
154
Reaction score
116
Hawa jamaa wa NEC inabidi waelewe kuwa ili kuepuka vurugu amabao unaweza kuathiri hali za kiuchumi Tanzania inabidi wacheze fair game, wakijaribu kubeba timu moja tu inaweza kuleta vurugu ambazo zitahatarisha maisha ya watu wengi wasiostahili. Wale ng'ombe wasiojiweza na wanaobebwa kila mahali ndio ngoro na sisi Watanzania sio aina hiyo. Nchi ni yetu sote na sio ya JK, NEC, Chadema na CCM.

Kuweni makini narudia kuweni makini.
 
Hawa jamaa wa NEC inabidi waelewe kuwa ili kuepuka vurugu amabao unaweza kuathiri hali za kiuchumi Tanzania inabidi wacheze fair game, wakijaribu kubeba timu moja tu inaweza kuleta vurugu ambazo zitahatarisha maisha ya watu wengi wasiostahili. Wale ng'ombe wasiojiweza na wanaobebwa kila mahali ndio ngoro na sisi Watanzania sio aina hiyo. Nchi ni yetu sote na sio ya JK, NEC, Chadema na CCM.

Kuweni makini narudia kuweni makini.


Ukishapiga kura nenda kalale,mwaka huu sio kama miaka mingine ya uchaguzi yangu mi ni hayo tu.
 
Ukishapiga kura nenda kalale,mwaka huu sio kama miaka mingine ya uchaguzi yangu mi ni hayo tu.

Ukienda kulala fisi wataiba, ila polisi wasipopiga watu Watanzania hawana damu ya vurugu kama nchi zingine na tumelelewa kwenye misingi ya kupendana isiyo na ukabila. Ni NEC ndio inayoshikilia maisha ya Watanzania na inabidi tuombe sana ili kila kitu kiende kama mungu alivyopanga.
 
Ukienda kulala fisi wataiba, ila polisi wasipopiga watu Watanzania hawana damu ya vurugu kama nchi zingine na tumelelewa kwenye misingi ya kupendana isiyo na ukabila. Ni NEC ndio inayoshikilia maisha ya Watanzania na inabidi tuombe sana ili kila kitu kiende kama mungu alivyopanga.


Sasa wewe piga kura kunywa viroba uendelee kung'aza sharubu kwenye kituo cha kupigia kura uone kama Mbowe atakuja kukusaidia.
 
Hata polisi wabataka mabadiriko hatutegemei vurugu kabisa.
 
Hawa jamaa wa NEC inabidi waelewe kuwa ili kuepuka vurugu amabao unaweza kuathiri hali za kiuchumi Tanzania inabidi wacheze fair game, wakijaribu kubeba timu moja tu inaweza kuleta vurugu ambazo zitahatarisha maisha ya watu wengi wasiostahili. Wale ng'ombe wasiojiweza na wanaobebwa kila mahali ndio ngoro na sisi Watanzania sio aina hiyo. Nchi ni yetu sote na sio ya JK, NEC, Chadema na CCM.

Kuweni makini narudia kuweni makini.

Ukimaanisha kuwa tayari vipovikosi vimeandaliwa kwa hio vurugu???

Mnatishia vurugu sana watanzania na yaonyesha hata kisu hakijawahi kukukata
 
Back
Top Bottom