Apo mbona simple mkuu... fanya hv, muoneshe kuwa unampenda sana af siku akikuweka kwenye target akupige kizinga mkwepe, sema huna ela... reaction yake apo ndo itakupa jib. Akiwa mkali shtuka bro... badilisha gia
Salaam wakuu.
Binafsi sijaoa ila inaeleweka kuwa ndoa zina changamoto nyingi sana zinazowesha kusababisha kupishana kauli, kupigana (sometymz), kunyamaziana n.k....
Nawapa kisa kimoja
Miaka miwili ilopita, nilikuwa nikimtongoza manzi flan hv (hapa tumwite mary) alokuwa na kila sifa ya kuitwa...
Mimi nakataaaa...
Basi kama n hvyo, wanyama wangekuwa na utashi kwa kiasi flan na wangekuwa na effect ya mazingira kulingana na vile walivyoishi walipokuwa binadamu
Mfano, fisi ambaye enzi za uhai wake alikuwaga ni mangi muuza duka pale moshi mjini, angezaliwa porini na angetumia mda wake...
Kwan walikuwa wajinga kuruhusu ID fake?. Ww post jambo, pitia reply znazokufaa, zngine ziangalie tu.
Hii ndo maana ya Jamii Forum, kila tabia iliopo kwenye jamii utaikuta humu. Ko akili kumkichwa.
Shenz typ
Kwani wote mlioreply hapa ni madaktari?. Na kama sio, mmejuaje kuwa AZUMA inatibu Gono na U.T.I sugu??.
Wote bas mshawah kutumia hio dawa. ACHENI NGONO ZEMBE, mtakuja mfwe mbwa nyinyi😁😁
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.