Ongea vitu vya logic ndoa ndo inamtambulisha mwanaume ? Alaf Kuna meng ya kusolve na kugundua kweny maisha ndo maan wazungu wanatuzid mbali mtu unakaa unawaza wanaume waoe kwel 😂
Nyie ndo wale mpo serikalin mmeaniriwa mshahara mnene àlafa mnasema vijana wajiajiri mtaani .sa hyo hela ya kwenda kuzunguka nje ya nchi ili uonekane mwanaume nguli wanagawa wapi mkuu tuje tuchukue tukatembee tembee sudani
Really kbsa nchi zingine zinaweka miji yao ming iwe maaruf ndo maana ni vyepesi kutaja miji ya marekan hata kumi na mtu hajawah kufka ila anapasifia kwa muonekano wake sa si Tanzania tumeendekeza mno uafrika kua ni wanyonge hatuwez kuweka miji iwe vzur na kubaki kukomalia dar serikali ijarib...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.