Nimetumia X-trail kuanzia ina 25km mpaka sasa ina 160,000km.
Ukiwa nayo fanya yafuatayo=
1. Pata original engine oil. (super nissan)
2. Original oil filter, air filter.
3.Heshimu muda wa Services per oil instruction.
4. Tumia diagnosis machine inapoleta tatizo sio kubahatisha kwa mafundi...
Huyo atazaa na wanaume wangapi? Make hao watoto kazaa na wanaume kwa kuwaambia maneno kama hayo.
Kwa ushauri wangu usidhubutu , mshauri aongeze kwa baba wale wa kwanza.
Ndg we una bahati hata kumpata mtu anayekula. Mimi watoto wamenichosha kila siku utakuta ugonvi nyumbani hawataki kula mikate wala Maya. Mpaka wabembelezwe na visoseji kidogo hadi mama yao ukasirika.
Kwa bahati hiyo pamoja na uchumi mugumu jitahidi nunua hata mikate mitano mikubwa leta hapo...
Broo tulia kwanza usipanic kama ni swala la nywele zitaota tena, baada ya muda utasikia tu kupitia redio mbao kutoka kwa watazamaji, sasa hapo itakua ni wewe kujirekebisha kosa ulilofanya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.