Pole sana mkuu,dah maisha ya ndoa noma.kwanza ujue bado Ana uhusiano na huyo bwanaake wa zamani,ila wewe una Moyo,Mimi pale nilipopeleka zawadi nikaambiwa wailikuwepo wazazi wake,ilikuwa ndiyo mwisho kulipa Ada,mwisho hapo hakuna tena ndoa,piga chini tafuta mwangalizi wa madogo,ila usioe tena,