Tumedanganywa

Tumedanganywa

serikali yetu inaongozwa na mazombie mwisho wao oktoba
 
So is tanzania goverment wanaunga mkono hii mambo huko south?
"Xenophobia is selective. Not all people are
subjected to violence. When they ask you where
are you from and you tell them that you are a
Tanzanian, they do not touch you.” Mr.Membe
Said
 
hata kama kayasema... Hayo si maneno ya kidiplomasia kwa waziri wa mambo ya nje.

Kwa hiyo kwa kuwa hakuna watanzania waliouawa, anamaanisha waafrika wengine ni halali kuuawa!!??

Afrika tumekuso viongozi

ni aibu sana kuwa na kiongozi wa aina yake, afu anataka kuwa rais wa nchi yetu.
 
Anataka kutwambia kuwa wazulu wako kama Alshabab kuuliza kama wewe ni muislam au mkristo.. Sasa fikiria mtu kama BM ni barozi South afu mnakwenda kuomba msaada wa kibarozi hali ingekuwaje?
 
You can not distinguish between a myopic leader from a myopic characters...
 
Urais ni Norma. Watu tayari wameshakumbwa na gono LA mbwa
 
Hivi kweli membe xinamtosha?mwalimu mkuu wa watu slishamshauri mkuu wa kaya kabla hajateua yeyote apimwe kwanza uwezo wa utambuzi.
 
nchi nyingine ukijibu we mtanzania unafungwa bila kuulizwa. Membe anatuletea story za kufikirika hapa hakuna kitu kama icho.
 
Huyo ndio Membe bwana aliyeneemeka na nepotism,halafu jitu kama hili nalo linataka uraisi,keeli Kikwete kainajisi taasisi ya uraisi na nchi yenyewe!!!!

haya ndo matunda yake hajiwezi taabani sema kwa vile mamaaaa mkubwa ndugu yake basi anapewa akale kodi ya watanzania ila awamu hii ni ya hovyo sana
 
Back
Top Bottom