Unataka nchi, ni marekani baada ya Obama kushinda uchaguzi as mhula wake wa mwisho republican pamoja na democratic wlianza mchakato wa nani atamrithi Obama. Na sasa moto umekolea.nenda Kenya jirani zetu wanasiasa wote wako kwenye pilikapilika za 2017.huwezi kutenganisha siasa zifanyike...
Hayo ni mawazo ya mtoa mada.alifanya utafiti wapi? Tunahitaji kama magufuli katika kipindi chake ajenge taasisi ambayo kila MTU atawajibika bila kusimamiwa.tulisema mfumo ndio tatizo.magufuli anafanya vizuri ila mfumo ujengwe kila MTU atakayepata uongozi awajibike. Mfano marekani kila raid...
Tunataka matokeo ya haya yanayofanyika.hakuna MTU anayepinga juhudi anazofanya mkuu wa Maya.ila matokeo chanya ya kila jambo analofanya ndio itakuwa kipimo cha kusifu au la.
Huyu aliyetoa hii Mada ni pumba kweli.tukiwekewa vikwazo na tukitengwa na nchi za magharibi fedha yetu itakuwa kama ya Zimbabwe. Hao China na Japan mbona hawamsaidii Mugabe.
Breaking news ITV sasa imetangaza kumetokea vurugu kwenye ukumbi wa mkutano uliokuwa umewakutanisha madiwani wote wa jiji la tanga.madiwani wa cuf ni 20 na ccm 17. Wamepiga kura na matokeo yamegeuzwa kwamba ccm wameshinda kwa kura 20 kwa 17 za cuf.mkurugenzi amefungiwa ndani na askari baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.