Recent content by bwii

  1. bwii

    Huu ufa kwenye hii ndoa unazibika?

    Japo Umeeleza ila bado kuna vitu umevificha na ukisoma btn the line ulimkataza asimuambie mama yake sababu ya kumpigia hio usiku wa manane,Mimi nahisi ni 1. Ulitaka kumuingilia kinyume na maumbile ukiwa timamu au ulisingizia pombe 2.Ulishindwa/ uliendelea kushindwa kumtimizia mahitaji yake...
  2. bwii

    Wakina mama hawakuni tena nazi kwa mkongojo

    Siku hizi wanaibandua tu na kuweka kwenye brenda,dkk 1 tu tyr hawana muda wa kupoteza muda
  3. bwii

    Azam wameigharimu sana Yanga kuelekea mchezo wao na Mamelodi

    Game plan ya Azam sikuzote ni kuumiza wachezaji wa Yanga pindi wanapokutana.
  4. bwii

    Siri kubwa kuliko zote kuhusu dunia yetu tambarare

    Km dunia ni flat naomba kuona picha yoyote inayoonyesha base yake yaani kama sahani naomba kuona kule palipoandikwa made in China,sehemu km hiyo kwa muktadha wa dunia.
  5. bwii

    Bango hili Magogoni Ferry linaaibisha Polisi

    "From 4 failures" ndio nini!?
  6. bwii

    Ungetatua vipi mgogoro wa daladala na bajaj?

    Kuna route Dom ya Town - Kikuyu kulikuwa kuna mgogoro wa hivyo,baadae wenye bajaji waliomba route hiyo,kwa sasa hakuna tena daladala ktk route hiyo.
  7. bwii

    Ungetatua vipi mgogoro wa daladala na bajaj?

    Ningetumia falsafa ya current RC DSM kipindi akiwa Mbeya kuhusu makelele ya makanisani na baa usiku alisema "kila mtu afanye kile anachoona bora ila mwisho wa siku mmoja atamshawishi mwenzake kumfuata" km wote wanafanya biashara kihalali waruhusiwe japo vibajaji vitakuwa na foleni sana coz...
  8. bwii

    Je, unapenda kuwa katika kampuni inayokulipa mshahara mkubwa au yenye hadhi ya juu sana?

    Unajua madhara ya kuishi kwa kulinda hadhi huku unakipato kidogo!!? Bro utateseka sana maana utajiwekaweka na kuishi kihadhihadhi huku unamaokoto madogo.tafta hela
  9. bwii

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Unazima na moto kabisa[emoji1787][emoji1787]
  10. bwii

    Soda ya Coca-Cola zimekuwa mbaya sana

    Pepsi bariidi baada ya kunywa supu
  11. bwii

    Kama wewe ni mwanaume kuna mambo hupaswi kumuita fundi

    Kama unakaa kwako hakikisha unapanda mbogamboga kwa wingi badala ya maua
  12. bwii

    Kwanini Wanawake wanawapenda sana Wanaume 'Masela' kuliko wale 'Wakishua' Kingono?

    Wanawake wanapenda kuinjoy the defference,ndio maana wenyewe hawaileweki,masela wanamapenzi sana hata kitandani wapo fit coz shughuli zao za kila siku zinawafanya miili na misuli malimbali ya mwili kuimarika so pia ukizengua anakuchangamsha na wanawake wanapenda mtu asietabirika.
Back
Top Bottom