Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,309
- 4,017
Tension inazidi kuwa kubwa kati ya bajaj na daladala. Na mara nyingi hii huwa inaleta vurugu na mahasi baina ya wahusika wa bajaj na daladala, ila pia migomo ambayo inapelekea tabu kwa wasafiri.
Currently, huko Arusha kuna mgomo wa daladala. Jamaa wa daladala wanalalamika bajaj wanawaharibia biashara kwa kuchukua wateja wao katika njia zao.
Bila kupendelea upande wowote, ni hatua gani ungependa zichukuliwe ili amani na utulivu udumishwe milele bila ya yoyote kuwa mhanga wa mgogoro wa dala dala na bajaj?
Karibuni.
Currently, huko Arusha kuna mgomo wa daladala. Jamaa wa daladala wanalalamika bajaj wanawaharibia biashara kwa kuchukua wateja wao katika njia zao.
Bila kupendelea upande wowote, ni hatua gani ungependa zichukuliwe ili amani na utulivu udumishwe milele bila ya yoyote kuwa mhanga wa mgogoro wa dala dala na bajaj?
Karibuni.