Ungetatua vipi mgogoro wa daladala na bajaj?

Eli Cohen

JF-Expert Member
Jun 19, 2023
1,309
4,017
Tension inazidi kuwa kubwa kati ya bajaj na daladala. Na mara nyingi hii huwa inaleta vurugu na mahasi baina ya wahusika wa bajaj na daladala, ila pia migomo ambayo inapelekea tabu kwa wasafiri.

Currently, huko Arusha kuna mgomo wa daladala. Jamaa wa daladala wanalalamika bajaj wanawaharibia biashara kwa kuchukua wateja wao katika njia zao.

Bila kupendelea upande wowote, ni hatua gani ungependa zichukuliwe ili amani na utulivu udumishwe milele bila ya yoyote kuwa mhanga wa mgogoro wa dala dala na bajaj?

Karibuni.
 
Ningetumia falsafa ya current RC DSM kipindi akiwa Mbeya kuhusu makelele ya makanisani na baa usiku alisema "kila mtu afanye kile anachoona bora ila mwisho wa siku mmoja atamshawishi mwenzake kumfuata" km wote wanafanya biashara kihalali waruhusiwe japo vibajaji vitakuwa na foleni sana coz vitakuwa vingi balaa.
 
Ningetumia falsafa ya current RC DSM kipindi akiwa Mbeya kuhusu makelele ya makanisani na baa usiku alisema "kila mtu afanye kile anachoona bora ila mwisho wa siku mmoja atamshawishi mwenzake kumfuata" km wote wanafanya biashara kihalali waruhusiwe japo vibajaji vitakuwa na foleni sana coz vitakuwa vingi balaa.
Sasa mi najiuliza dala dala wanalia eti wanachukuliwa wateja, ila mbona kwenye dala dala mara nyingi tunabanana na kupigania meaning zina watu kibao.

Au ni roho mbaya tu za dala dala.
 
Hao jamaa wa daladala akili zao kisoda, sasa kama bajaji zinalipa kuliko daladala kwanini wasihamie kwenye bajaji? Kwan wao walizaliwa wafanye biashara ya daladala tu? Kama wateja hamna waache kabisa wafanye kazi nyingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
Labda ni roho mbaya, maana dala dala zenyewe watu huwa wengi hadi wanapitia dirishani
 
Mi ningechukua 50 zangu maana kama wanaamini riziki anapanga mola wala hawana sababu ya kuwa na migogoro
Mda mwingime rizki inafaa uchukue kwanguvu si ad upewe imagine mtu wa dala dala analipa mapato,bima,latra,stika ya nenda kwa usalama na ana ukomo wa njia ufananishie na mtu halipii chochote na anaweza enda popote anapotaka yeye yani hana mwisho wa ruti na leseni ya udereva pia hana alafu useme rizki anatoa mungu
 
kuwatengea mipaka na maeneo ya dala dala na bajaji, siyo hiace inayobeba abiria 16 stand wanapigana vikumbo na bajaji ya watu wawili hadi watano.

Tena watz tunavyopenda kuwahi, walaah tena wa hiace atasubiri sana hadi kukuche.
 
Mda mwingime rizki inafaa uchukue kwanguvu si ad upewe imagine mtu wa dala dala analipa mapato,bima,latra,stika ya nenda kwa usalama na ana ukomo wa njia ufananishie na mtu halipii chochote na anaweza enda popote anapotaka yeye yani hana mwisho wa ruti na leseni ya udereva pia hana alafu useme rizki anatoa mungu
Meaning that, serikali ina wajibu wa kuwapunguzia mzigo wa malipo kwa hawa dala dala ili hizi hasira wasihamishie katika migomo wakipinga bajaj.
 
Mda mwingime rizki inafaa uchukue kwanguvu si ad upewe imagine mtu wa dala dala analipa mapato,bima,latra,stika ya nenda kwa usalama na ana ukomo wa njia ufananishie na mtu halipii chochote na anaweza enda popote anapotaka yeye yani hana mwisho wa ruti na leseni ya udereva pia hana alafu useme rizki anatoa mungu
Sasa kama wanajua hayo kuna haja gani wa kulumbana kila mtu acheze mechi zake kikubwa watoto wapishane chooni
 
Meaning that, serikali ina wajibu wa kuwapunguzia mzigo wa malipo kwa hawa dala dala ili hizi hasira wasihamishie katika migomo wakipinga bajaj.
Hapa ni bajaji zisajiliwe na ziwe na ukomo wa ruti sio wanaenda tu kila mahali kama bodabodq
 
Bajaj zitumike kutoa watu mitaani na vichochoroni Hadi kwenye vituo vya daladala au Barbara zinakopita daladala. Then daladala ziwafikishe mjini au wanakoenda abiria, ukiruhusu Bajaj nyingi zifanye kazi ya daladala kwanza utapoteza mapato lakini pia utatengeneza tatizo jingine la foleni.
Nadhani Bajaj zithibitiwe maana hao ni machinga waliochangamka,hawana utaratibu.
 
Wacha nguvu ya soko iamue.
Hii ni perfect competition market structure (soko lenye muundo wa mchuano mkali).
In a perfect competition, there is a FREE ENTRY and EXIT. It means inefficient producers are weeded out of the market by efficient producers...
As u 'have already learned' that in a pefect competition there is free entry and exit; Anayeshindwa biashara anatolewa sokoni na anayeweza biashara.
Tuliona chai maharage zilivyotolewa sokoni na dala dala, boda boda za baiskeli kwa boda boda za pikipiki and maybe huu ni wakati dala dala zinatolewa sokoni na Bajaji. Hizi ni market forces zinazoendeshwa na 'invisible hand' according to Adam Smith!
Screenshot_20230815-155056.jpg
 
Back
Top Bottom