Kampuni ya ulinzi ya 24 Security (T) Ltd yenye makao yake makuu mkoani Dar es salaam, inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya Ulinzi (Nafasi 10) kwa vijana walioko Dar es Salaam.
Sifa Za Muombaji:
o Awe raia wa Tanzania
o Awe amepitia mafunzo ya Ulinzi, Mgambo, JKT
o Asiwe na historia...
Nilikuwa nafatilia kipindi kinachorushwa na ITV kuhusu historia ya mgombea urais kupitia chama cha TLP ndugu Macmilan Lyimo.
Kwa wale mnaotaka kupgia kula CCM nawashauri mpigie Lowassa mkishindwa kabisa mpgieni huyu jamaa, makomeo mtajuta.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.