Nafasi za Kazi ya Ulinzi (Nafasi 10)

Nafasi za Kazi ya Ulinzi (Nafasi 10)

BwanaX

Senior Member
Joined
Mar 5, 2015
Posts
123
Reaction score
46
Kampuni ya ulinzi ya 24 Security (T) Ltd yenye makao yake makuu mkoani Dar es salaam, inapenda kuwatangazia nafasi za kazi ya Ulinzi (Nafasi 10) kwa vijana walioko Dar es Salaam.


Sifa Za Muombaji:
o Awe raia wa Tanzania
o Awe amepitia mafunzo ya Ulinzi, Mgambo, JKT
o Asiwe na historia ya ualifu ama kufukuzwa kazi
o Awe na umri kuanzia miaka 18 mpaka 30


Maombi yote yatumwe kwenda kwa;


https://www.facebook.com/hashtag/nafasi_za_kazi_ya_ulinzi?source=feed_text&story_id=1024832147583749


Weka na mshahara watu wajue
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom