Recent content by bwanamajo

  1. B

    JamiiForums Tanzania Kuwa mweupe hakukufanyi uwe mzuri

    Kucha zako zikoje madam
  2. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Lugha ya Kifaransa

    Merci beaucoup
  3. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Lugha ya Kifaransa

    #32 Merci, j'utilise Duolingo app. Trois mois maintenant. Nitumie njia ngani nyingine
  4. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Lugha ya Kifaransa

    Merci, j'utilise Duolingo app. Trois mois maintenant. Nitumie njia ngani nyingine mkuu
  5. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada Lugha ya Kifaransa

    moi Aussi, je parle petit francais
  6. B

    JamiiForums Tanzania Kuwa na busara epuka kumuuliza mtu maswali haya

    Usiulize "huyo ndo mke wako?" Uliza "oya ndo Shem wetu???"
  7. B

    JamiiForums Tanzania Krismasi za kukumbuka (sad memories)

    Uzi mtamu sana. Nakita kambi
  8. B

    JamiiForums Tanzania Ukiwa umefulia ni kitu gani chako cha thamani uliwahi kukiuza ambacho leo ukikumbuka nafsi inakuuma?

    2020 Nilienda kuuza vigae kama vinne vilibaki home baada ya ujenzi nikakutana na mwana mmoja akaniambia Kuna dingi anavihitaji tukaenda tukafika mida ya samoja usiku mzee akasema anipe buku 2 hela nyingine nitafata kesho nilikasirika Sana na siwezi kurudi navyo home itakuwa noma, ikabidi...
  9. B

    JamiiForums Tanzania Songa - Hisia za moyoni

    Unaweza ukawa Bora hata usipo win
  10. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mpenzi wako alikwambia au alifanya nini ukasema kimoyomoyo huyu hawezi kuwa mke/mume wangu

    "Hata ikitokea tumeachana siwez kumwambia mtu kuwa unavuta bangi"
  11. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uhusiano Huu na Huyu Mshikaji Unanipa Mshangao Mkubwa Sana

    Unatolewa out na unatoka
  12. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kufanya hivi kwenye mahusiano?

    Matumizi mabaya ya neno binti!!! Usimfananishe binti na huyo Malaya.
  13. B

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uliwezaje ku move on kwa mtu uliyempenda sana?

    Anza kubeti, au vuta bangi Iko hivi mtu ambae ulikuwa unampenda akikuacha na ukaendelea kumkomalia  anakuchukia ila ukikausha hata asipokupenda hatokuchukia. kama amekuacha wakati mliokuwa mnapendana unadhani utamrudisha wakati huu aliokutema???
  14. B

    JamiiForums Tanzania Hivi siku hizi hakuna majambazi?

    Saiv hela inapatikana kwenye kafara na ma Apostles.
  15. B

    JamiiForums Tanzania Mwili wa Daktari Dismas Chami aliyekuwa Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Ulyankulu waokotwa maeneo ya Malolo, Tabora

    Hapa Tabora stori imetrend sana, sema nikiwasimulia mtayazagaza
Back
Top Bottom