2020 Nilienda kuuza vigae kama vinne vilibaki home baada ya ujenzi nikakutana na mwana mmoja akaniambia Kuna dingi anavihitaji tukaenda tukafika mida ya samoja usiku mzee akasema anipe buku 2 hela nyingine nitafata kesho nilikasirika Sana na siwezi kurudi navyo home itakuwa noma, ikabidi...
Anza kubeti, au vuta bangi
Iko hivi mtu ambae ulikuwa unampenda akikuacha na ukaendelea kumkomalia anakuchukia ila ukikausha hata asipokupenda hatokuchukia.
kama amekuacha wakati mliokuwa mnapendana unadhani utamrudisha wakati huu aliokutema???
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.