Hapana ,hujaelewa mkuu, waraka unamaanisha kama umesajili gari yako Rwanda na upo Tz utaruhusiwa kubeba mizigo ya Transit inayokwenda Rwanda tuu. Haitowezekana uwe na gari yenye usajili wa Rwanda halafu ukabeba mzigo wa kwenda Congo.[emoji120][emoji120]
Habari Wanajamvi?
Nilivyosikia majina ya Sabaya , IGP Siro nikasema lazima Mawakili wa utetezi have a strategy in play.
Obvious Sabaya na Siro wata- turn hostile. Kwa maana nyingine ushahidi watakaotoa mahakamani hautokuwa unambeba au kumpa support Mbowe ambae kimsingi ndiye shahidi ambae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.