Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu kidato cha sita 2012, nilipata bahati ya kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma 2012-2013 kwa bahati mbaya nikakosa mkopo.
Nilijaribu kufuatilia Loan Board ila sikufanikiwa hali yangu ya kimaisha kifedha ilikua sio nzuri chuoni hapo, msosi wangu ni wakulenga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.