Recent content by buzbuz

  1. B

    JamiiForums Tanzania Wanawake nyie endeleeni kuringa tu

    Aaaah...kwa sababu tu yakuolewa ndo uolewe na gumegume hata hujalipenda kisa nn.....una matatizo WW..
  2. B

    JamiiForums Tanzania Je, Ni lazima mwanamke afike kileleni kila mnapofanya mapenzi?

    Naona kuna umuhimu wa kumfikisha manamke..ukiachia Kati unamaanisha mwingine aje kumalizia?
  3. B

    JamiiForums Tanzania Wanawake wasiojua kukata mauno

    Una kibamia anakionea huruma kitameguka
  4. B

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke hanifai kabisa

    Jiulize kwa nn akudharau....utakuwa una gubu si bure
  5. B

    JamiiForums Tanzania Machozi ya wanawake ni laana jamani

    Manamke ametoka kwenye mbavu za mwanaume.ukimkung'uta unajikung'uta mwenyewe.
  6. B

    JamiiForums Tanzania Machozi ya wanawake ni laana jamani

    Badili tabia..eongea pont sana
  7. B

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke hanifai kabisa

    Aaaah kumbe mlo kwenye dangerzone....hayo ni mambo ya kwawaida
  8. B

    JamiiForums Tanzania Huyu mwanamke hanifai kabisa

    Shika adabu yako...mwanamke sio punda
  9. B

    JamiiForums Tanzania Machozi ya wanawake ni laana jamani

    Hayo ya kupiga ni ya kwenu Bible yaijasema
  10. B

    JamiiForums Tanzania Machozi ya wanawake ni laana jamani

    Nlikuwa cjalitambua...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Machozi ya wanawake ni laana jamani

    Habari wana jf... Nimekaa nikijaribu kufanya uchunguzi hatimaye nimegundua haya.mm nimeoa pia Nina miaka name sasa. Huwa Nina tabia ya kukasirika na mda mwingine kupiga kabisa hata kitu kosa kidogo tu hivyo hupelekea kumkera mke wangu na mke wangu Julia sana bila kumjali. Nikachinguza siku...
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kwanini tukiwa tunarahatupuika tunafumba macho?

    Na wanaolia inakuaje
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kupata mimba ?

    Asante sana
  14. B

    JamiiForums Tanzania Kuna uwezekano wa kupata mimba ?

    Habari wapendwa madaktari...naomba kuuliza kama kuna uwezekano wa kupata ujauzito baada ya kufanyiwa Hsg? Asanteni
  15. B

    JamiiForums Tanzania Walimu Dar kusafiri bure kwenye daladala

    Nashindwa kuelewa....hiv kuna siku siku walimu wamewahi kuwalalamikia nauli?au ndo Yale ya kuomba mkate na kupewa jiwe?
Back
Top Bottom