Tafadhali kama unahitaji huduma hii wasiliana kwa namba 0682295752 kwa wale mlioko Dar mtaweza kuonana na mtaalamu ila wale wa mikoani mtatumiwa CODE baada ya kufanya malipo.
Jamani naomba msaada kwa mtu anayeweza ku unlock Huawei y300 inayotumia mtandao wa tigo itumie line zote hapa Tanzania. Au kama kuna mtu unamfahamu sikupenda ku Flash natamani kuifungua bila ku flash.
Changamoto ni pale uchunguzi unapochukua muda mrefu na matukio yanajirudia. Watu wanakosa Imani na amani pia.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Nchi ya dawa hii na watu hata hawakomi ingawa wanasikia kila siku watu wanakamatwa. Nahisi adhabu zao ni kidogo ndo manaana hawaachi
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.