Miongoni mwa misingi ya demokrasia ni kukubali kutokubaliana hivyo tukubali kuwa na mawazo mbadala ikibidi mbn dada zetu wanavaa nguo fupi hawajaitwa wachochezi au mchochezi ni mtu anaye pingana kisiasa?
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka...
Let us be rational .the topic is too subjective than to be objective kwani majukumu ya police ni kuzuia RAIA kutekeleza majukumu ya kisiasa au kulinda usalama pale raia anapoteoeleza majukumu halali
Nina mke tumeishinaye kwa miaka kadhaa juzi kati imetokea kutoelewana kati yetu ugomvi wetu ulikuwa mkubwa kiasi cha kupigana japo hakuna aliyeumia kati yetu, baadaye alikimbia police na kufungua kesi ya shambulio nilikamatwa na kuchukuliwa maelezo na kuwekwa ndani kesho yake kaja na ndugu zangu...
Ndugu wana JF,
Nina mke nimezaa naye mtoto mmoja bahati nzuri Mungu kanijalia kazi ambayo inaniwezesha kupata mahitaji yangu ya kila siku kila mwisho wa mwezi na mpa pesa ya kununua kila kitu.
Cha ndani cha kushangaza kila nikirudi home akigundua nimelewa ananisachi na anachokikuta anachukua...
Neno furaha ni gumu kulielewa kwa lugha ya wenzetu kuna tofauti kati ya happiness na pleasure tofauti yake ni kwamba pleasure ni temporary happiness na happiness ni permanent pleasure hivyo hakuna mtu yeyote mwenye happiness bali tunapata temporary happiness ambayo ni pleasure so how to get...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.