Kumbe wahaya ni wayaudi?

bussness

Member
Nov 29, 2014
46
20
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka mbinguni yaani mana(senene)maana hadi Leo Hakuna mtu anaye jua chimbuko la senene hivyo wahaya ni taifa teule
 
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka mbinguni yaani mana(senene)maana hadi Leo Hakuna mtu anaye jua chimbuko la senene hivyo wahaya ni taifa teule
(1) Wamepigana Vita wakigombania nchi yao ya Ahadi.
(2) Hupokea moja kwa moja chakula chao kutoka Mbinguni..!

Kwa Mujibu wa maelezo yako, ngoja tufanye utafiti kidogo na kukusanya baadhi ya taarifa muhimu, Bila shaka tutakuja na majibu ya hili...
 
Mtoa post atakuwa Mhaya nini
Yaani unajifannaisha na wayahudi kwa vigezo hafifu kama ivyo.
Wayahudi traces their origin back from Abraham then Isaac then Jacob alfu wakaja watoto 12 wa Jacob
Sasa wahaya wanaingaije apo
 
Buhaya kingdom ukisoma history ndo kingdom pekee ambayo kabla ya wakoroni ilikuwa imefikia hatua y'all feudalism pili nitaifa ambalo lilipigana vita ndo maana ikaitwa vita y'all kagera tatu no taifa linalo kula chakula maana ya ndizi sio nafaka wala mizizi ndo taifa linalopewa chakula toka mbinguni yaani mana(senene)maana hadi Leo Hakuna mtu anaye jua chimbuko la senene hivyo wahaya ni taifa teule
Hakuna fact hapo mkuu
 
Post inaweza kuwa ya masihala kumbe kweli.
Kwanini Wa _zun_gu walipeleka HIV Kagera?
Kwanini isiwe sehemu nyingine?
Kuna vitu ambavyo hadi leo vimebaki kuwa ni hadithi zisizosimulika.
Miaka ya 1980-1999 mashirika yasiyo ya kiserikali NGOs yalikuwa yanapishana Kagera, sijui siku hizi yameishia wapi.?
 
dah, naweusi wote huo mnajifananisha na wayahudi?
kweli wahaya mnasifa.


Ndiyo tatizo kubwa la wahaya, hawanaga haibu kujifananisha na watu. Wahaya wawe taifa teule toka lini, hawatahiriwi yaani ni watu wazima mpaka hivi naandika, wanalala ama kulana uroda kindugu na hawana mwiko hata kidogo, wachoyo, matunda wanafanya kuwa chakula (ndizi), panzi (senene) wamewabatiza kuwa msosi wa nguvu, huu ni uchu wa nyama na si ujanja. Wanajidai wakati Uhayani hakuna cha maana, wako hoi bin taaban utafikiri Kigoma au Mbeya. waende tu huko Israel, hatuataki hapa Bongo, oengine wakifika huko watakumbuka kutahiriwa maana wayahudi wanatahiriwa na hiyari kwao.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom