Recent content by Bussiness Man

  1. Bussiness Man

    Trump sasa ni pasua kichwa mpaka wenzake wamemweka mtu kati

    Hakuna mwanamme mbishi mbele ya mwanamke mnyenyekevu. Jibu litakuwa zuri tu
  2. Bussiness Man

    Anachokifanya Balozi Dr Slaa ni mfano wa kuigwa kwa Mabalozi wengine na Wana Diaspora

    Kama watu wote wanaonywa kuhusu siasa wakimaliza waliopo wote tutakuwa wafanyabiashara,wavuvi,kilimo,ujasiriamali. Tutafika wakati tutaondoa mambo ya kuwa na wabunge, na vyeo vyote vya siasa wakimaliza waliopo.
  3. Bussiness Man

    Wanawake turuhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja

    Ukimtafutia mwenzake ndio utaiona furaha yake.
  4. Bussiness Man

    Wanawake turuhusu wanaume kuoa mke zaidi ya mmoja

    Mwenyezi Mungu anajua zaidi yetu, anajua binadamu ni wadhaifu, mke mmoja hawezi kukumalizia furaha hasa kama maisha yako unajiweza. Mkiishi sana mnachokana na ni rahisi mmoja wenu kubadilisha mawazo. Mwanamke akipata mwenzake anapata muda wa kujiandaa na kujipanga zaidi ana anapata kujisawazisha...
  5. Bussiness Man

    Porojo za siasa za waraka, washindani wetu Afrika Mashariki wanazungumza na Dunia

    Sehemu nyingi huwa zinawakilishwa na Rais mstaafu.
  6. Bussiness Man

    Zijue sababu mbalimbali za kukufanya ukose VISA ya nchi unayotaka kwenda

    Ugumu wote huo na sitofahamu ukiwa na hili huna lile yote imechangiwa na maisha magumu tu. Kama maisha ya wananchi ni mazuri kias wala hakuna kukwamisha.
  7. Bussiness Man

    Rais Magufuli uzinduzi wa magari ungemuachia Waziri wa Afya, si hadhi yako

    Nasikia mashine ya juice ya miwa ni kiwanda?
  8. Bussiness Man

    Viongozi wa dini kuongelea siasa ni kuwa wameacha kumsikiliza Mungu wanasikiliza watu

    Kiongozi wa dini ni binadamu kama na ni raia ana haki zake zote. Kumpangia nini afanye na nini azungumze ni kumyima uhuru wake.
  9. Bussiness Man

    Nyie jifanyeni tu mpo busy na maandamano na hamjasikia ila, kwa taarifa yenu tu ni kwamba....

    Hao watu wenye miradi ya ukimwi wanajua kuongeza hesabu ya waathirika, watafika hata watu 5000 kwa siku ili iwe rahisi kuwaibia wazungu.
  10. Bussiness Man

    Nimewavulia kofia 'HALOTEL'

    Hilo tokeo limenitokea juzi na nikwafata ofisin kuwauliza ikiwa wana tatizo manake naona kifurush na dakika zilikatwa hafla. Wakaniambia hakuna tatizo
  11. Bussiness Man

    Hali kama hii ikitokea hapa Bongo utafanya nini

    Mimi nimeshuhudia kambare akianguka kutoka juu siku ya mvua hapa hapa Tz.
Back
Top Bottom