Bussiness Man
JF-Expert Member
- Mar 9, 2016
- 213
- 244
Bila shaka utakuwa unatumia TECNO Futuhi mkuu. Battery yake ina uwezo wa kuboost Bajaj. Hongera sana kiongozi.Woyooooo......line mbili kiroho safi na chargr unasahau mara ya mwisho umecharge saa ngapi
Iki pungua bei mpaka ikafika laki 4.5-5 nishtueniWacha iuze tu aisee hii simu ni kiboko,ila screen ikipasuka nadhani ndio maumivu yatakapoanzaView attachment 798819
Kuna mdau hapo juu kasema hata copy 500 za X hakuna bongo hii, labda 5,000 kwa iPhone model zote, haya sasa!Are you sure?
Kuna mdau hapo juu kasema hata copy 500 za X hakuna bongo hii, labda 5,000 kwa iPhone model zote, haya sasa!
Iki pungua bei mpaka ikafika laki 4.5-5 nishtueni
Hilo ni jambo zuri, tena sana, it means tumeokoa fedha nyingi za kigeni.Halafu ulizia kwa Tanzania tu zimeuzwa copy ngapi, you'll be shocked hata copy 5,000, yaani hakuna watu 5,000 wenye hiyo iPhone X.
Yaani anunue 5S wakati kuna X?Utasuburi sana mkuu,fumba macho tu ununue wakati ziko hot.bei ya x kufika level hiyo ya bei nadhani dunia itakuwa imefika mbali sana na hii technology itakuwa so outdated.iphone 5s tu haijafika hiyo bei mpaka sasa unless ununue used.
Wanarudi aisee.....shaabash , nokia hawatokuja rud kwenye peak milele, hawa jamaa walitesa asee
Teh teh, kiongozi tumeokoa vipi wakati gadgets zingine zote tunanunua nje ya nchi? Au kuna simu made on Tanzania?Hilo ni jambo zuri, tena sana, it means tumeokoa fedha nyingi za kigeni.
Wanaweza sana kupata takwimu za mauzo ya Tanzania, ila its so insignificant kiasi kwamba kwao kuanza kufuatilia haina maana.ukweli wa mambo ni kuwa,kwenye takwimu zao za kimauzo makampuni yote makubwa huwa mauzo ya afrika nzima huwa hawayatilii maanani sababu soko letu liko so disorganised kuweza kupata takwimu kwa usahihi.hivyo product mpya ikiingia sokoni mauzo huwa yako based asia,europe na marekani ya kusini.soko la china ndio test nzuri ya kukubalika kwa simu mpya hasa iphone na sumsung
smartphone zote za sasa ukinunua lazima ui activate kabla hujaitumia, hivyo wanajua ulipo. atleast kwa simu mpya.ukweli wa mambo ni kuwa,kwenye takwimu zao za kimauzo makampuni yote makubwa huwa mauzo ya afrika nzima huwa hawayatilii maanani sababu soko letu liko so disorganised kuweza kupata takwimu kwa usahihi.hivyo product mpya ikiingia sokoni mauzo huwa yako based asia,europe na marekani ya kusini.soko la china ndio test nzuri ya kukubalika kwa simu mpya hasa iphone na sumsung
Wanangu wa tecno pigaaaaaaa kelelelelele
Kununua Iphone X moja ni sawa na kununua simu za tochi ngapi? Tumeokoa pesa nyingi sanaTeh teh, kiongozi tumeokoa vipi wakati gadgets zingine zote tunanunua nje ya nchi? Au kuna simu made on Tanzania?
Simu kali sana hiiMnyama huawei p20 pro