Naona kuna mgao jijini Dar. Leo mjini hakuna umeme tangu asubuhi sasa hivi tena wamekata usiku. Laiti sector hii isingekuwa monopolistic ningeshahama Tanesco.
Ombi katika Tawi la Nmb Mwenge (Sinza) wahudumu wa Bank Tellers ni wachache na sehemu ya Bulk pia mara nyingi haina mtu mpaka uitiwe baada ya dakika 20-30 ukiwa unasubiri.
Na kwa hali ya sasa juu ya bank kivamiwa ni hatari sana kwa mtu kukaa na hela nyingi ukiwa unasubiri huduma.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.