Kwa ufupi Mungu akuumba wewe static, mtu ambaye hana chaguo, Mungu alikuumba akakupa akili ya kujua jema na baya, na kupitia hiyo umutukuze kwa hiari yako au uende kwa shetani, kwa kupitia majaribu. Ndio maana shetani yupo, na hajashindwa kumuangamiza, uhuru wa kuchagua uleta maana ya kweli.
Kesho rasmi walimu wanaanza usaili, na usaili huu utaendelea hadi tarehe 24 mwezi wa pili. uzi huu umeandaliwa mahsusi ili kuwa jukwaa la kushirikiana mawazo, maswali mliyokutana nayo, changamoto mlizopitia, na uzoefu wenu wa mtihani.
Lengo ni kuwasaidia wenzetu wanaotarajia kufanya usaili huu...
Rafiki yangu leo amekuja kwangu na kunikopa laki moja, nikampatia kama kawaida yetu ya kusaidiana. Lakini cha ajabu ni kwamba baada ya dakika kadhaa akarudi na kunieleza kuwa alikuwa anataka aogezee kwa laki tano hili ifike laki sita aliyoombwa na bimdada atengeneze gari.
Nikabaki nimeshtuka...
KABLA YA KUITA SERIKALI MATAPELI ULIZA UTARATIBU KWANZA, UTUMISHI SIYO KAMA TAMISEMI, HUKU HUWA WANATOA PDF TOFAUTI TOFAUTI HADI ZIFIKE HIZO NAFASI AU HADI ZAIDI.
Unataka watu waanze kuhonga hili wabaki makazini, na hizo gharama za usahili kila mwaka si bora zipelekwe mahospitalini au mashuleni, wazo zuri ila kieconomical haliko sawa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.