Recent content by busaramoco

  1. B

    Kumuona Daktari Tsh.10,000/=

    Hujaumwa mkuu....ukishikwa na mshipa utagoogle na ujitibu?ukipata "acute appendicitis" (kidole tumbo) utagoogle na kujitibu? hela kidgo sana hiyo kwa consultation fee...wtanzania bna,unaenda hospital upo "unwell" baada ya vipimo Unaambiwa upo vizuri unataka upewe ugonjwa hata kama...
  2. B

    Timu bamia wagundua njia mpya

    angestukia angeanza mapema kumwagulia...
  3. B

    Starlet inauzwa - bei ya kutupa

    kaka weka specifications tuijue....
  4. B

    Sakata la Mbasha: Kanisa la Ufufuo na Uzima Tunasema...

    ingawa swala la imani ni la mtu binsfsi,so called eng. jipange...mbna kwnza wachagua maswali ya kujibu,ucwaaibishe wenye fani ya eng......
  5. B

    Ila kuna wanaume wana maringo..

    uzuri gani labda......sura,??umbile?au financial status....manake vyote vinaweza sababisha mtu aer mzuri....
  6. B

    Nauza gari aina ya Daihatsu storia mil 3.5

    kwa nje kazuri ndani kapoje na kwenye engine..
  7. B

    hii ndio picha yangu kama nilivyohaidi kuiweka wik hii

    Naanza kuhoji...naona kila unavyojibu wazidi nipa wasiwasi....ya Milan yaweza kuwa kweli...mtaZamo tu!!
  8. B

    Prof. Kapuya atishia kuishitaki JamiiForums...

    ha ha ha ...napita tu!!msimlaumu wakili jamn....hata ningkuwa mm ningemshauri ivyoivyo....ntafanyaje biashara sasa kma c kuirefusha kesi wakati anajua kosa liko wapi..ngoja tuone mwsho wa sinema hii
  9. B

    Sababu 10 za kuwachukia madaktari

    mmh...hongera kaka!!ila undhani wao wanapenda kuona wagonjwa wanakufa mbele yao!!tafuta sababu den ndo uongee!!kma hamna mgonjwa anahitaji hewa ya oksijen unataka akanunue na hela yake!?hamna dawa husika kwa ajili ya shida ya mgonjwa huyo mfano "resuscitation drugs",unadhn daktar...
  10. B

    Sababu 10 za kuwachukia madaktari

    mtoa hoja anaweza kuwa na hoja ila umekosea jinsi ya kuileta.... udaktari ni msingi ambao unawekwa na nia kwa anayesomea na hii ni duniani kote...unaanza kuchujwa tangu ukiwa "ordinary level" kwa mfumo wetu wa elimu wa kitanzania...kwa hiyo kma ulikua hapendi na hujasoma sayansi tangu "o level"...
Back
Top Bottom