kichomiz
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 19,012
- 11,945
Mkuu labda 400,000
Unaonaje kama ukienda kununua maandazi ukanywa na chai?
Mkuu labda 400,000
Mbongo akiuza gari maswali ni mengi kuliko majibu
Ipo katika hali nzuri kabisa.
Alarm sytem
Remote key less
etc
Sababu ya kuuza: Nimeagiza gari nyingine
Bei: Tshs 5,000,000
Jinsi ya kuiona: Jtatu hadi Ijumaa MWANZA
JUMAMOSI NA JUMAPILI SHINYANGA
PM kama unahitaji
check picha hapa chini
Unaonaje kama ukienda kununua maandazi ukanywa na chai?