Ni tukio mbaya kutokea lakini kwann wanatumia nguvu nyingi kujiandaa na oparetion ukuta wakati hao wanaenda kuwazuia hawana hata marungu. Askari wetu jiandaeni kwa kukabiliana na matukio kama hayo, siyo kupita mitaani kutisha wanainchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.