Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 14,590
- 25,706
Ninavyodhani ilitakiwa tusikitike sana kwa hili tukio na kulaani kwa nguvu zote ikiwa wenye siraha nzito wanauawa. je wasio na siraha nzito na mafunzo inakuaje? na pia hao waliokufa ni ndugu zetu kazi tuu ndio zimetutofautisha ila si vyema kuwakejeli tunazungumzia uhai wa watu wanne hapo...