Bwana hamza kwema ndugu yangu, bahati nzuri tunafahamiana vizuri tumesoma chuo kimoja tumemaliza 2015, mkuu hiyo gpa haina shida swala ni moja masters ya ualimu haikuongezei mshahara wala haikupi guarantee ya kupanda cheo, kama unataka kuhama kada fata maelekezo ya ngariba one, ila kwa sisi...
HEhehe sasa kuna sheria ya kuuliza kipi na kipi nisiulize, kama sifahamu kitu nauliza huku kuna watu wana weledi tu wakujibu, ungepita tu kama uzi unakukera
Caf hao hao wanasema yanga haijawahi cheza makundi champions league tangu 1998, ila wenye timu yao wanasema walishacheza robo fainali ya champions league
Sema ukweli kwanza, maana ukweli utakukomboa, its seems hujakaa miezi minne mtaana huna kazi labda miaka minne etc, weka wazi proffessional yako unaweza pewa mawazo ya ziada kutanua wigo wa kuajiriwa, na cv yako ipo sawa maana kifumo inabadilika weka templets za kisasa siku hizi tunaangalia sana...
Nyoko nyie si ndio mlioshangilia simba kupangiww wydad mkadhani na nyie mpo champions league hawa ni mabingwa watetezi wa kombe kubwa kuliko yote africa na tumewakanda nyie kenge kinawauma nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.