nashukuru mzima
JF-Expert Member
- Jul 11, 2017
- 1,014
- 1,896
Habari.
Naomba Sana kazi sipati.
Kiukweli mwaka Jana nilipata fursa ya kupata kazi sehemu mbili Ila zote sikuweza kwenda maana kuna kazi ya shirika nilikuwa nalipwa malipo kama 2M bado marupurupu.
Ila Haikuisha hivyo mkataba ukaisha na zile kazi mbili nilikuwa nimekosa hiki kitu kinaniuma mpaka Leo.
Mwaka huu mwanzoni nimekuwa nikiomba kazi kwa kazi, nilifanya interview Nne na nikaishia kupata kazi ya kujitolea na mshahara kadogo na kazi ya kitumwa japo proffesional yangu.
Nimeendelea kuomba kazi Ila sijaitwa tena kwa interview licha ya kuomba sehemu nyingi.
Na Hapa nilipo hakuna Future.
Msaada wakuu shida iko wapi?
Naomba Sana kazi sipati.
Kiukweli mwaka Jana nilipata fursa ya kupata kazi sehemu mbili Ila zote sikuweza kwenda maana kuna kazi ya shirika nilikuwa nalipwa malipo kama 2M bado marupurupu.
Ila Haikuisha hivyo mkataba ukaisha na zile kazi mbili nilikuwa nimekosa hiki kitu kinaniuma mpaka Leo.
Mwaka huu mwanzoni nimekuwa nikiomba kazi kwa kazi, nilifanya interview Nne na nikaishia kupata kazi ya kujitolea na mshahara kadogo na kazi ya kitumwa japo proffesional yangu.
Nimeendelea kuomba kazi Ila sijaitwa tena kwa interview licha ya kuomba sehemu nyingi.
Na Hapa nilipo hakuna Future.
Msaada wakuu shida iko wapi?