Hamza Mdoe
Member
- May 30, 2016
- 13
- 8
HABARI wadau KATIKA jukwaa hili adhimu, Mimi ni mwajiriwa KATIKA kada ya elimu kwa masomo ya English and literature in English na ufaulu wangu kwa chuo haukuwa mzuri sana nilipata GPA ya 2.8 lower second.
Je, naweza kujiendeleza masters KATIKA course gani ambyo itakuwa na FURSA mbalimbali zenye kufit ktk career yang ? Na vyuo gani ni vzur kwenda kusoma?
Naomba ushauri wenu wadau mana nawaza kusoma tu sasa hivi.
Je, naweza kujiendeleza masters KATIKA course gani ambyo itakuwa na FURSA mbalimbali zenye kufit ktk career yang ? Na vyuo gani ni vzur kwenda kusoma?
Naomba ushauri wenu wadau mana nawaza kusoma tu sasa hivi.