Mimi nilipiga chini offer ya kwenda kuishi ulaya kwa miaka kumi,sababu kubwa nilitamani ku hustler na kumiliki uchumi wangu binafsi nikiwa hapa hapa bongo.offer ilitoka kwa aliyekuwa girlfriend wangu kutoka pande za huko ng’ambo.
Hizi ndo akili za kiafrika siku zote wao ni kuwaza tu kwamba wazungu wanawaua!! This is a mental slave, uzembe afanye mwingine na yakimpata eti utasikia Mzungu kahusika! Ni ujinga sana watu kufikiria huo upuuzi.
Wewe naye ni mshirika wa hayo mambo ya giza ndo maana unapanua sana domo kupinga..very soon na wewe utakuja humu JF kutushuhudia namna ambavyo hayo mambo ya giza hayafai ni suala la muda tu utakutana na nguvu za Mungu aliye HAI..
Pole na hongera kwa kuitikia mwito wa kuwa pastor, ila kwa ushauri ungeendeleza kisa chako kwa urefu kidogo hapa JF kabla ya kuhamishia wasomaji wako kwenye kitabu.nafikiri ingekusaidia kuvuta attention ya watu kabla ya kuwa direct kwenye kitabu chako.
Ila yote na yote..ubarikiwe sana na Bwana...
Mkuu kwa sababu kwa hiari yako umeamua ku share hii story yako na sisi..fumbia macho wakosoaji ambao hawana maana yoyote zaidi ya wivu tu wanaona kwa hayo uliyoyapitia. Wanatamani wangekuwa wao
Akijiroga kubadilisha jina tu...basi na huo ndio utakuwa mwisho wa umaarufu wake kimziki. Jina linabeba uhalisia wa maisha yetu katika ulimwengu wa roho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.